Analoshindwa Putin aliliweza Magufuli kwa kutumia zawadi ya tausi watatu kwa Museveni na Kenyatta

Kuna mtu yupo kiteto lkn anaona putin yupo pale kwa bahati mbaya
Putin hayupo pale kwa bahati mbaya tatizo lake ametawala mpaka kapitiliza. Mpaka kachokwa. Kumbuka mwaka 1999 alipoingia kremlin warusi wengi wanaoandamana kwa sasa walikuwa bado watoto wadogo na sasa wameshakuwa na uelewa wa nini wanachokitaka.

Ana tamaa ya madaraka akiona yeye tu ndio anayefaa kuongoza Russia, aliondoka madarakani akamuachia Medvedev ikulu ikiwa ni geresha tu akitaka kuidanganya dunia, halafu amerudi tena, Hana jipya na hana ubunifu wa kiuongozi.
 
Ukraine wanayo haki ya kuamua mstakabadhi waobila shinikizo la Putin. Hivi Vladimir Putin mzima huyu? Naona anataka kuwasha moto dunia haijawahi kushuhudia.
 
Ukraine wanayo haki ya kuamua mstakabadhi waobila shinikizo la Putin. Hivi Vladimir Putin mzima huyu? Naona anataka kuwasha moto dunia haijawahi kushuhudia.
Atapigwa asipoangalia. Rais wa Ukraine ni myahudi na kawaida yao wana umoja sana hawa jamaa, wanakuwa na network kamili siku zote ipo kazini.
 
Ila mwisho wa siku bado nia ya Ukraine kujiunga NATO ipo palepale.

Sasa Yeltsin alifanikiwa vipi kidiplomasia...!?
Miaka ya urais wake hukuwahi hata siku moja kusikia haya masuala ya Ukraine kuonewa wala kutaka kupigwa na Russia.

Chernomydin alikuwa waziri wa mambo ya nje mwenye kuijua kazi yake.
 

Mkuu mbona miaka yote mumeshinndwa kutumia diplomasia Zanzibar yaani ni majeshi Na kuuwa watu kila ufikapo uchaguzi ?
 

Hatari yake ni nini ? Mbona Singapore ilijitoa kutoka Malaysia kumetokea nini cha hatari ? UK wamejitoa European Union hatari gani ? Kabla muungano kulitokea hatari gani ?
 

Wewe huielewi Ukraina wale waliotawala Wakati wa Yeltsin walikuwa pro Russia hawa wanaotawala sasa hivi ni Wayahudi, Na niliwaambia hapa kuwa hawa watasababisha vita Na ndivyo ilivyotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…