Analysis ya body language: Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga

Analysis ya body language: Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Once mwananchi always mwananchi.

Huyu dogo Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga. Mechi ya jana amecheza kinazi. Amecheza chini ya kiwango chake. Kuna baadhi ya mashuti alikuwa anajipigisha fyongo ili mradi asilete madhara kwenye klabu yake hiyo ya Zamani.

Kwa watu wanao jua kusoma body language/ body gestures ( body movement) za mtu na ambao walimtazama Feisal kwenye mechi ya jana, wanaweza kukubaliana nami pasi na shaka yoyote ile kwamba Feisal bado ana mapenzi makubwa na Yanga.

# Usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
 
Mechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
 
Mechi imeisha YANGA 3___AZAM2 FEI TOTO anatabasam tu na washikaji wake kina AUCHO kama vile yeye hayo matokeo hayamhusu. DOGO alijichanganya sana kuhusu like sakata lake na INJINIA.
Na kuna wakati kwenye ile faulo, alishika mpira huku akipiga stori na Aucho kwa tabasamu mwanana..!! Yule bado wetu, MAKOLO ndo wamemlostisha..!!
 
Once mwananchi always mwananchi. Huyu dogo Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga. Mechi ya jana amecheza kinazi. Amecheza chini ya kiwango chake. Kuna baadhi ya mashuti alikuwa anajipigisha fyongo ili mradi asilete madhara kwenye klabu yake hiyo ya Zamani.

kwa watu wanao jua kusoma body language/ body gestures ( body movement) za mtu na ambao walimtazama Feisal kwenye mechi ya jana, wanaweza kukubaliana nami pasi na shaka yoyote ile kwamba Feisal bado ana mapenzi makubwa na Yanga.

# usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
Leo na Wewe umeanzisha Uzi JamiiForums? Nahisi uwepo wa Mvua Kubwa nchini.

Jamani msiache Kuuchangia huu Uzi ili usije Ukamdodea bure na akajiona hathaminiwi nanyi.

Haya LIKUD nimeshakupigia Promo huu Uzi wako na Watu wakishaona tu hii ID yangu ya GENTAMYCINE imechangia watafurika hivyo usiache tu Kunishukuru na Kunipongeza sawa?

Watu tuna Nyota zetu Kali sana duniani.
 
Leo na Wewe umeanzisha Uzi JamiiForums? Nahisi uwepo wa Mvua Kubwa nchini.

Jamani msiache Kuuchangia huu Uzi ili usije Ukamdodea bure na akajiona hathaminiwi nanyi.

Haya LIKUD nimeshakupigia Promo huu Uzi wako na Watu wakishaona tu hii ID yangu ya GENTAMYCINE imechangia watafurika hivyo usiache tu Kunishukuru na Kunipongeza sawa?

Watu tuna Nyota zetu Kali sana duniani.
Charistimatic Fella , entertainer and game changer.
 
Once mwananchi always mwananchi. Huyu dogo Feisal bado ana mapenzi makubwa sana na Yanga. Mechi ya jana amecheza kinazi. Amecheza chini ya kiwango chake. Kuna baadhi ya mashuti alikuwa anajipigisha fyongo ili mradi asilete madhara kwenye klabu yake hiyo ya Zamani.

kwa watu wanao jua kusoma body language/ body gestures ( body movement) za mtu na ambao walimtazama Feisal kwenye mechi ya jana, wanaweza kukubaliana nami pasi na shaka yoyote ile kwamba Feisal bado ana mapenzi makubwa na Yanga.

# usikute jana dogo alienda kushangilia chooni
Kwanini tusitumie gas yetu?
 
Leo na Wewe umeanzisha Uzi JamiiForums? Nahisi uwepo wa Mvua Kubwa nchini.

Jamani msiache Kuuchangia huu Uzi ili usije Ukamdodea bure na akajiona hathaminiwi nanyi.

Haya LIKUD nimeshakupigia Promo huu Uzi wako na Watu wakishaona tu hii ID yangu ya GENTAMYCINE imechangia watafurika hivyo usiache tu Kunishukuru na Kunipongeza sawa?

Watu tuna Nyota zetu Kali sana duniani.
🤣🤣🤣🤣🤣

popoma kama popoma.
 
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE

Haya LIKUD unaona sasa Uzi wako unavyoanza Kuchangamkiwa na Watu ( Members ) baada ya ID yangu hii Kuonekana nayo imechangia?

Uzi ulikuwa Unakudodea. Nishukuru sana sawa? Ukiambiwa GENTAMYCINE nina NYOTA KALI uwe Unakubali.
Kumbe Uzi wako usipopata comments huwaga ni issue kwako? Ina ku affect kisaikolojia? And u think I am you?
 
Back
Top Bottom