Mwamatandala
Member
- Jul 17, 2009
- 44
- 3
we Saaly unakula nini hapo?mahaba ya siku hizi bwana yamejaa mashaka tupu....mtu akigusia kitu kidogo tu mwenzie tayari mawasi wasi....:spider:
we Saaly unakula nini hapo?
nipo chuo.ila nataka nilipe umuhimu wake suala hili.ndio maana nilitaka kulitekeleza baada ya masomo.umalize masomo yepi ya secondary au chuo? kama ni secondary ni kweli unaweza kuogomba kuwa wazazi watakuona kuwa unachezea hela zao kwaajili ya wasichana lakini kama ni chuoni nafikiri hakuna kizuizi maana chuoni kuna watu wazima. otherwise unaintention zingine ndo maana unakataa kumpeleka kwa nduguzo
Ana age gani? Inawezekana anazeeka anataka ndoa wewe unampotezea muda!
hujakosea muungwana,ni kweli niingia kwa gia hiyo kubwa.inaonekana ulipömtongoza uliingia na gia za ndoa:rain:
that is strickly prohibited for men...only ladiesndizi! karibu lol
kama kweli ni mpenzi wako wa dhati why usimuonyeshe nduguzo,kumfahamisha kwa ndugu sio kumtambulisha rasmi ila ni kuweka ukaribu zaidi wenye manufaa kwa pande zote na kuongeza ushirikiano wenu katika mambo mbalimbali
Sasa hiyo fichaficha yako isijefika siku nduguyo akakutana nae akamtongoza bila kujua ni shemeji....