Ananiboa, Eti masturbation inamtosha......!!!

Ananiboa, Eti masturbation inamtosha......!!!

Sajenti

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
3,651
Reaction score
413
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....
 
Naona unashindwa kumuandaa jaribu kumfanyia mahesabu.
Ukiona bado unachemka piga Valuu naona utamkuna kunako maana inaonyesha uwezo wako mdogo.
 
Achana na mjinga huyo..

Kujichua ni message kwako kwamba huna lolote wala chochote, na humtoshelezi....huh!
 
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....

umemuuliza kwa nn ajichue na wakati wewe upo? inaonekana kuna tatizo hapo kaka huenda hujampa mambo yakamkuna kisawasawa,jaribu kumbembeleza tena na akikubali tu hakikisha unampa vitu tofauti kabisa,
kama sio matatizo mengine basi atakutafuta mwenyewe huyo next time
 
umemuuliza kwa nn ajichue na wakati wewe upo? inaonekana kuna tatizo hapo kaka huenda hujampa mambo yakamkuna kisawasawa,jaribu kumbembeleza tena na akikubali tu hakikisha unampa vitu tofauti kabisa,
kama sio matatizo mengine basi atakutafuta mwenyewe huyo next time
..Mkuu na wengine mliochangia hapa. suala kuwa simfikishi si kweli kwani katika muda niliokuwa nae alipata shughuli anayostahili kiasi kwamba alikiri kwa mdomo wake kuwa moto ninaompelekea ni kiwango. Katika mazungumzo yetu niliwahi kumbana sana kwa maswali kwa nini anajichua na mimi nipo akadai kuwa alijifunza kupitia videos na story za rafiki zake. Lakini nikamuuliza unadhani unachofanya ni sahihi akadai kwa akili yake ni sawa!!!! Very strange!!!!
 
..Mkuu na wengine mliochangia hapa. suala kuwa simfikishi si kweli kwani katika muda niliokuwa nae alipata shughuli anayostahili kiasi kwamba alikiri kwa mdomo wake kuwa moto ninaompelekea ni kiwango. Katika mazungumzo yetu niliwahi kumbana sana kwa maswali kwa nini anajichua na mimi nipo akadai kuwa alijifunza kupitia videos na story za rafiki zake. Lakini nikamuuliza unadhani unachofanya ni sahihi akadai kwa akili yake ni sawa!!!! Very strange!!!!


kama ni hivyo anapaswa kufanyiwa counselling ya psychology kaka,hiyo itakuwa imemuathiri kama wanavyosema kwkenye masturbation kwa mtoto wa kiume,akiwa amezoea kufanya hivyo kwa muda mrefu anakuwa addicted so hata akija kuoa ataendelea tu kufanya punyeto
 
kama ni hivyo anapaswa kufanyiwa counselling ya psychology kaka,hiyo itakuwa imemuathiri kama wanavyosema kwkenye masturbation kwa mtoto wa kiume,akiwa amezoea kufanya hivyo kwa muda mrefu anakuwa addicted so hata akija kuoa ataendelea tu kufanya punyeto

very true huyo dada atakuwa mwathirika wa 'mastabesheni' mtafutie washauri!! naskia hiyo kitu ukizoea mwanaume hatakutosheleza....side effect yake ndo hiyoooo!!!
 
Zegere, unajua kinachonistaajabisha ni demu mwenyewe. anyway ni binadamu wa kawaida tu lakini ni mtu aliyekwenda shule na amepata exposure ya kutosha kiasi kwamba sikutarajia kama angekuwa mwepesi kudaka mambo kama hayo na kuyaweka akili kiasi hicho. Mh!! Mkuu ndio natoka kibaruani nina mihadi naye sehemu lakini ni hii imenikoroga kabisa.
 
.."katika muda niliokuwa nae alipata shughuli anayostahili kiasi kwamba alikiri kwa mdomo wake kuwa moto ninaompelekea ni kiwango"

Maybe alikuwa anakupa moyo tu ili usimuhoji sana! Mpe cha mbavu!
 
Naona unashindwa kumuandaa jaribu kumfanyia mahesabu.
Ukiona bado unachemka piga Valuu naona utamkuna kunako maana inaonyesha uwezo wako mdogo.
valuu ni kitu gani?
 
very true huyo dada atakuwa mwathirika wa 'mastabesheni' mtafutie washauri!! naskia hiyo kitu ukizoea mwanaume hatakutosheleza....side effect yake ndo hiyoooo!!!
hata mtoto wa kimue pia akishazoea basi mwanamke hawezi kumtosheleza,ataona kama iko losse hata kama na...... haijatanuka kivile,lakini kwa sababu yeye atajipimia size ya kutight mb...o yake ili apate mshindo haraka,hiyo ndio itamwathiri mwanamke amuone si kitu,pia atakuwa anamalizaa haraka kwa hiyo hawezi kumfikisha mke kunako
 
Zegere, unajua kinachonistaajabisha ni demu mwenyewe. anyway ni binadamu wa kawaida tu lakini ni mtu aliyekwenda shule na amepata exposure ya kutosha kiasi kwamba sikutarajia kama angekuwa mwepesi kudaka mambo kama hayo na kuyaweka akili kiasi hicho. Mh!! Mkuu ndio natoka kibaruani nina mihadi naye sehemu lakini ni hii imenikoroga kabisa.


yes,inawezekana ana exposure ya kutosha lakini hayuko practically, i mean hakuwa anafanya mapenzi badala yake ndio akawa anjiridhisha mwenyewe kwa nanma hiyo,thats y hata alipokupata wewe ile hali bado anaendelea nayo, jaribu kumhoji sana ebu ujue alianza lini kufanya hivyo then unaweza kujua kama imemuathiri kwa kiasi gani
otherwise inabidi utafute ushauri wa kumfanya arudishe hamu ya kufanya ngono,si wote waliokuwa exposed mashuleni wanafanya ngono,ingawa si rahisi pia kuwakuta watulivu kwa dunia ya sasa
 
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....

Achana na mjinga huyo..

Kujichua ni message kwako kwamba huna lolote wala chochote, na humtoshelezi....huh!

...ha ha, uwazi na ukweli mtupu
 
..Mkuu na wengine mliochangia hapa. suala kuwa simfikishi si kweli kwani katika muda niliokuwa nae alipata shughuli anayostahili kiasi kwamba alikiri kwa mdomo wake kuwa moto ninaompelekea ni kiwango. Katika mazungumzo yetu niliwahi kumbana sana kwa maswali kwa nini anajichua na mimi nipo akadai kuwa alijifunza kupitia videos na story za rafiki zake. Lakini nikamuuliza unadhani unachofanya ni sahihi akadai kwa akili yake ni sawa!!!! Very strange!!!!

Bwana weh, huyo yuko Next Level kingono, inawezekana ulimridhisha mwanzo lakini kapata style au mtu mpya, tena na hayo ya kuangalia video na rafiki zake you have to be very scared, hiyo kampani yake si nzuri hata kidogo.

She is on another level and you havent reached it
 
..Mkuu na wengine mliochangia hapa. suala kuwa simfikishi si kweli kwani katika muda niliokuwa nae alipata shughuli anayostahili kiasi kwamba alikiri kwa mdomo wake kuwa moto ninaompelekea ni kiwango. Katika mazungumzo yetu niliwahi kumbana sana kwa maswali kwa nini anajichua na mimi nipo akadai kuwa alijifunza kupitia videos na story za rafiki zake. Lakini nikamuuliza unadhani unachofanya ni sahihi akadai kwa akili yake ni sawa!!!! Very strange!!!!

...ndivyo walivyo kaka, wakishachoka ku 'fake Orgasm', huja na vijisababu hivi...
 
Achana na mjinga huyo..

Kujichua ni message kwako kwamba huna lolote wala chochote, na humtoshelezi....huh!


what if huyo shemeji kaanza tabia ya kuji-xpress?? hiyo tabia imeenea sana town hapa nowadays...anaweza kuwa nashindwa kukuambia tu.....! ile tabia ni mbaya sana kiasi kwamba humfanya mtu akose hamu ya sehemu ya kawaida.

athari ya kujichua kwa mwanamke si kubwa kama kwa mwanaume...

chunguza mkuu...
 
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....

wewe ndio unamboa. Try cunnilingus and analingus (consult a dictionary). Make sure she is damn clean. Atajuta kwanini hukumfanyia hiyo orientation mapema
 
wewe ndio unamboa. Try cunnilingus and analingus (consult a dictionary). Make sure she is damn clean. Atajuta kwanini hukumfanyia hiyo orientation mapema
Ah! Mziwanda!
 
...ndivyo walivyo kaka, wakishachoka ku 'fake Orgasm', huja na vijisababu hivi...
Thats Mbu, as usual!
Da, mi hapa sina comment jamani. kuna mambo dunia hii.
 
Back
Top Bottom