Pre GE2025 Ananilea Nkya: Kipindi cha nyuma kuelekea uchaguzi mkuu tulishuhudia mauaji ya Albino, mwaka huu tayari ukatili huo umeanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Atakuambia walikuwa wanauawa ila wanaficha taarifa zao
 




Soma hao wala nguruwe wenzio ndio wahusika tena na paroko...Kuwa na akili .
 
Na bado walipita bila kupingwa kwamba wenzao hajui KUJAZA fomu.
 
Ina sikitisha sana, ndugu zetu Wahaya wa Kamachumu na nyie kumbe mna imani za namna hiyo. Kwamba utoe uhai wa mtoto Albino asiye na hatia ili ufanikiwe.
Albino wote wapelekwe wakaishi DSM,huko mikowani inaonekana hawako salama na huu uchaguzi unao kuja!!
 
Na Meli ilizama watu zaidi ya 500 wakapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…