Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,430
CCM Hawafai, Magufuli Hana Ubavu wowote Kwa Maana Majizi ni Wengi ndani ya CCM.
Majizi na Watu Kwenye viburi ndani ya CCM Hawezi Kuwafanyia Kitu.
NyumbaniInaendelea Kuungua,Ni Busara waendelee Kuzima moto ambao Kimsingi Hawatauzima
CCM Ndio inaenda na Maji Hivyo..
Majizi na Watu Kwenye viburi ndani ya CCM Hawezi Kuwafanyia Kitu.
NyumbaniInaendelea Kuungua,Ni Busara waendelee Kuzima moto ambao Kimsingi Hawatauzima
CCM Ndio inaenda na Maji Hivyo..
