Uchumi wa TZ sasa ni mzuri sana kuliko 2015 na kuna maendeleo zaidi ukilinganisha na 2015. Ni zero brain tu ambaye anaweza kusema uchumi wa nchi yetu leo ni mbaya labda uchumi wako wewe na mafisadi wenzio.
EMBECILE Syndrome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi wa TZ sasa ni mzuri sana kuliko 2015 na kuna maendeleo zaidi ukilinganisha na 2015. Ni zero brain tu ambaye anaweza kusema uchumi wa nchi yetu leo ni mbaya labda uchumi wako wewe na mafisadi wenzio.
EMBECILE Syndrome
Toa maoni yako tenaAh, kwani Marais wanaowasifiaga majukwaani, Nyerere na Mkapa walitoka chama tofauti na CCM? Nilidhani angefafanua ni namna gani Magufuli atazembea kuwashika mafisadi na sio kulaumu mfumo endapo utachaguliwa tena... Zaidi anaonekana kama mpiga kampeni wa UKAWA kuliko mchambuzi, mbaya zaidi anatoka chombo ambacho kilitakiwa kisiweke msimamo wake kwenye Uchaguzi Mkuu.
Nilikuwepo!
Wewe ulikuwa fisadi wa kutupwa sasa awamu hii unagugumia kwa maumivu. Pole sana.Sasahivi hakuna ufisadi kuna uporaji wa mali za umma.
Shangilia ujinga wenzako wanakula vizuri wewe mpiga debe tupuWewe ulikuwa fisadi wa kutupwa sasa awamu hii unagugumia kwa maumivu. Pole sana.
Pathetic full
Ass!Pathetic full