Elections 2015 Ananilea Nkya: Magufuli akichaguliwa Ufisadi na Umasikini vitaongezeka

Uchumi wa TZ sasa ni mzuri sana kuliko 2015 na kuna maendeleo zaidi ukilinganisha na 2015. Ni zero brain tu ambaye anaweza kusema uchumi wa nchi yetu leo ni mbaya labda uchumi wako wewe na mafisadi wenzio.

EMBECILE Syndrome
 
Toa maoni yako tena
 
TAWILE Mama..!
Tumeona Uwanja wa Ndege CHATO.. Ufisadi Mtupu.
TRILLION 2,4 zimechotwa HAZINA kupelekwa IKULU.

Tumerudi miaka 55 nyuma, tumekua nchi ya chama kimoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…