Ananing'ata! Kwa kweli naumiaga!

Ananing'ata! Kwa kweli naumiaga!

vijana acheni zinaa

.....me love this avatar.....
avatar14192_2.gif
Embe na chumvi, au mambo ndo hivyo tena? Hapa sijui nimwulze nani, Principessa aloiweka au Preta uloipenda.
 
Vaa sidiria unaweka na vifuu kaka itakusaidia
ahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa u made ma day meeeeeen
 
kuna kitu nimekipenda kwenye posts zako...ni ile jinsi unavyoweza kuziunganisha posts za watu wengi in a sequence na ukiweka comment in btn. unafanyaje hii kitu? naomba unifundishe
natanguliza shukrani tafadhali!
Embe na chumvi, au mambo ndo hivyo tena? Hapa sijui nimwulze nani, Principessa aloiweka au Preta uloipenda.
 
Nilishang'atwa kama mara tatu hivi na binti wa kimeru, mpaka amenifanya niwaogope madada wa kimeru wote, inawezekana ni tabia yao kung'ata wakati wanafika kileleni.
 
Sasa hii inakoelekea ni balaa!!

Hivi hii ni starehe au ni kitu gani? Et mtu mko kunako sita kwa sita, mara katika kuandaana ili kila mtu aingie katika ulimwengu ule akiwa na raha......demu anavamia nipple zangu!!!......anaanza kuziminya na kuzing'ata kwa meno kama vile anataka kuzichomoa.......anazing'ata weeeh..mi najitahidi kujikaza kwa kudhani kuwa labda atacha muda si mrefu....anaachia...anang'ata....anaachia...anang'ata!

Sasa sijui na yeye ndiyo namna anavopata raha akining'ata? Kila ninapokutana nae, mi hutoka nikiwa na maumivu makali kwenye nipple zangu baada ya gemu! Nikimuuliza anasema eti hata yeye hajui kwa nn inatokea ivo! Kuna muda mpaka nilikuwa nafikiria nitafute helmet ya kifuani lakini nazo hazipo halaf itaharibu mtiririko wa mpenzi! Sasa nimfanyeje huyu kiumbe?

jini hilo mkuu sepa haraka sana!
 
du..huwa inatokea bali kama waona inakuboa tumia style nyingine ambayo hamtaonana ana kwa ana.ukimkaataza huenda hivyo ndivyo anavyopata fleva yake.jifunze why she do so........................
 
Back
Top Bottom