Ananinyima tendo la ndoa, kisa eti amefunga

Ananinyima tendo la ndoa, kisa eti amefunga

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kuna kamchepuko kangu, kila siku ananipiga kalenda kwa sababu yupo kwenye mfungo.

Nimeongea naye hivi karibuni, anasema mpaka mfungo uishe, na ataongeza siku zingine sita za mfungo; sasa huyu ananipenda kweli au ananikomoa?

Natamani nimuache, ila nashindwa kutokana na mautundu aliyonayo, pamoja na ubora wa kitendea kazi chake.

Nimekuwa kama vile mfungwa.​
 
Acha zinaa kijana.

20240129_230621.jpg


KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Jifunze kutofatisha baina ya Tendo la Ndoa na tendo la ngono au tendo la zinaa. Tendo la ndoa linafanyika baina ya wanandoa. Wewe umekataliwa kufanya tendo la ngono/zinaa na mchepuko sio mkeo huyo.

Ushauri: Acha zinaa ndugu. Baki Njia kuu.
 
Jifunze kutofatisha baina ya Tendo la Ndoa na tendo la ngono au tendo la zinaa. Tendo la ndoa linafanyika baina ya wanandoa. Wewe umekataliwa kufanya tendo la ngono/zinaa na mchepuko sio mkeo huyo.

Ushauri: Acha zinaa ndugu. Baki Njia kuu.
Hoteli na nyumba za wageni zilizojaa huku duniani na bado zingine zinajengwa, wanaokwenda kulala mule ni wana ndoa?​
 
Kuna kamchepuko kangu, kila siku ananipiga kalenda kwa sababu yupo kwenye mfungo.

Nimeongea naye hivi karibuni, anasema mpaka mfungo uishe, na ataongeza siku zingine sita za mfungo; sasa huyu ananipenda kweli au ananikomoa?

Natamani nimuache, ila nashindwa kutokana na mautundu aliyonayo, pamoja na ubora wa kitendea kazi chake.

Nimekuwa kama vile mfungwa.​
ustahimilivu ni ustaarabu 🐒
 
Kivipi mkuu, mada umeielewa vizuri?
Nimeilewa vizuri sana,wewe huyo ni kimada wako hujamuoa hivyo huna haki yoyote ya kuona ni halali yako kufanya naye uzinifu lakini kwakuwa alikubali mwenyewe kujiingiza kwenye uzinifu na wewe ndiyo maana unaona ni haki yako bila kujali hiyo "ibada" yake ya kufunga ndiyo maana nimesema Umalaya wa hawa dada zetu ndiyo unawadhalilisha,sikulaumu wewe kwa sababu yeye mwenyewe alishakuzoesha.
 
Back
Top Bottom