Siku zote kwenye kupenda tumia akili yako, vipi utumie akili za wengine.
Ushauri wangu huyo anaonyesha hajui kupenda, lakini kama unajiamini kwa kuzungusha kiuno...Unaweza kumzungusha hapo hapo asiende kwingine.
huto mwanaume:
1. HAKUPENDI
2. HAKUTHAMINI
3. ANAKUDHARAU
4. LIMBUKENI atakusumbua
5. HAJITAMBUI
6. HAJUI NINI ANATAKA KWENYE MAISHA YAKE, utaambulia headaches
7. Amekuona wewe KIRAKA?
achana nae
kutesa kwa zamu...mwanzoni wewe ndo ulidengua kuolewa, jamaa lazina naye aliugulia kimoyomoyo..........imekuja zamu yako kulia unaona kama yeye ndo mbayaaaaaaaa............
Kama mwanzoni ulikataa kuolewa mwanzoni ni vyema uwe mvumilivu sasa wakati mwenzio anadengua, itafika muda muafaka mta-converge.
i understand u well najua atanikumbuka kwa kuwa nimemsaidia pindi anasoma chuo kwa kumpa matumizi kipindi yeye hana kitu,leo amepata pesa ananiona mshamba mungu atamlipizia I WILL NEVER GET HURTED ALONE HE WILL EXPERIENCE THE SAME PAINS.Dada ngoja niwe Dr. Phil.
Huyu jamaa achana naye....hana mpango na wewe. Kuwatuma dada zake kumwombea msamaha kwa transgressions zake inamaanisha kwamba hayuko serious na wewe, pili anakuchezea. Unahitaji kum DUMP...umesikia dada yangu...mpige chini tena wala si kwa kelele wala purukushani wala usilete umati...kuwa mstaarabu chukua 50 zako...You know what....atakuja tu kukutafuta...sio leo may be sio kesho lakini atakuja tu....I promise you...najua maisha yatakuwa ya shida or whatever but you what...ili kupata fresh start lazima upitie kunako muda mgumu...na majaribu...You can do it....ni kipindi kidogo tu utakuwa miserable but ninakuhakikishia miezi mitatu utamsahau huyu mtu...maisha yako yatabadilika....you deserve better...not this....achana nae...fanya maamuzi magumu usipokee simu zake kuanzia leo.