Dada ngoja niwe Dr. Phil.
Huyu jamaa achana naye....hana mpango na wewe. Kuwatuma dada zake kumwombea msamaha kwa transgressions zake inamaanisha kwamba hayuko serious na wewe, pili anakuchezea. Unahitaji kum DUMP...umesikia dada yangu...mpige chini tena wala si kwa kelele wala purukushani wala usilete umati...kuwa mstaarabu chukua 50 zako...You know what....atakuja tu kukutafuta...sio leo may be sio kesho lakini atakuja tu....I promise you...najua maisha yatakuwa ya shida or whatever but you what...ili kupata fresh start lazima upitie kunako muda mgumu...na majaribu...You can do it....ni kipindi kidogo tu utakuwa miserable but ninakuhakikishia miezi mitatu utamsahau huyu mtu...maisha yako yatabadilika....you deserve better...not this....achana nae...fanya maamuzi magumu usipokee simu zake kuanzia leo.