Jean piaget
Senior Member
- Mar 15, 2014
- 143
- 34
Habari zenu Jf members,
Mm ni kijana (me) , kuna mama mmoja jirani yngu age within 40-45yrs na bint yake tulimaliza nae chuo mwaka juz, so huyu mama nakama my mumy.
Kinachonishangaza ni kwamba nikimsalimia anaitika"marahaba shemu" badala ya mwanangu , and she always call me "shem" no matter which situation we are.
Ananikosesha raha sana huyu mama coz bint yake ananita shem nae pia hivo hivo, namuonea ata aibu kumwambia.
In ur own cognitive (mental ability ) which ways, technique and strategy can I use to overcome ths situation without any conflict with that mumy.
NB: kama huna cha kushauri pita kimya kimya, its for great thinkers only.
Mm ni kijana (me) , kuna mama mmoja jirani yngu age within 40-45yrs na bint yake tulimaliza nae chuo mwaka juz, so huyu mama nakama my mumy.
Kinachonishangaza ni kwamba nikimsalimia anaitika"marahaba shemu" badala ya mwanangu , and she always call me "shem" no matter which situation we are.
Ananikosesha raha sana huyu mama coz bint yake ananita shem nae pia hivo hivo, namuonea ata aibu kumwambia.
In ur own cognitive (mental ability ) which ways, technique and strategy can I use to overcome ths situation without any conflict with that mumy.
NB: kama huna cha kushauri pita kimya kimya, its for great thinkers only.