Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ukweli mchungusasa si umwambie unauza akulipe kiliko kumpa bure? miezi minne ushavuliwa chupi zaidi ya mara mbili! mtu anakutafuta akiwa nanyege ashakuona we ni sex mashin wake, hujalogwa wala nn inaonekana anakukuna vizuri sana kiasi unarukwa na akili? ukiitambua thamani yako binti ndipo wengine watakuthamini.
Kama huna ngwengwe tuwasiliane 0718 757648 nakuaga fresh kabisaMiaka 2 sasa na nilishapima niko poa
Hakufa na ukimwi mbona mnapenda sana kuona waliokufa wamekufa na magonjwa kuna kulala mtu akafa usingizini
Sio kwamba hakupendi anakupenda ingawa unamvutia sana kwenye sex ndio maana anakucheck mara kwa mara kwa ajili ya sex na kinachoendelea hapo ni kuwa ametengeneza addiction ya sex hiyo ni mbaya maana ata ukipata mtu mwingine kama akupelekei moto kwa sana kama jamaa hutadumu utarudi kwa huyu jamaa..Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Kwaiyo ndugu yangu maswali yote hayo ndio ulitaka uhitimishe hiviKama huna ngwengwe tuwasiliane 0718 757648 nakuaga fresh kabisa
Hapo sasa ni kuchanganyikiwa kwa shauri mbalimbali mwengine hakupendi mwingine anakupenda… mwingine kaniambia mie kabaya simvutii anapenda papuchii 😂😂Sio kwamba hakupendi anakupenda ingawa unamvutia sana kwenye sex ndio maana anakucheck mara kwa mara kwa ajili ya sex na kinachoendelea hapo ni kuwa ametengeneza addiction ya sex hiyo ni mbaya maana ata ukipata mtu mwingine kama akupelekei moto kwa sana kama jamaa hutadumu utarudi kwa huyu jamaa..
Wewe onyesha kumjali na kumpenda kama haanzishi maongezi tofauti na sex tu basi wewe anzisha ukimaliza sex ukirudi nyumbani mwambie hubby nimefika salama after time utaona atabadilika na atakupenda sana na kukuoa kabisa..
Wanaume sisi ukitupa utamu bila kipimo na ukawa unaendelea kutuheshimu basi hatuna nongwa..
Huyo jamaa anakupenda ila anashindwa kujieleza anza wewe utaona mabadiliko makubwa.
Point kuu hii hapa, mwambie hakuna cha bure, bure imetosha.Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Kweli mkuuWe mpe tu si ulipewa bure hicho kidude
Sawa nitajaribuPoint kuu hii hapa, mwambie hakuna cha bure, bure imetosha.
Utani pembeni, kaa chini mwambie unavyojisikia, ukiweza mwandikie wataraka kama ulioleta hapa.
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Penzi jipya ndio huwa linakuwa na mawaslisno mfululizo. Hilo lenu siku ya kwanza tu mmeshaanza kugalagala. Hebu tuambie kwanza ilikuwaje wakati anakutongoza. Mlikuwa mnaongea nara kwa mara au ni hivihivi? Usikute mwenzetu ni introvert halafu tunamlaumuHaaha tunaongea bhn… sema ndio ile mnakaa siku 3 ndio mnawasiliana..
Ila sasa mimi kuna ile nimezoea mwanaume anitafute mimi sio mimi nimtafute so tunajikuta wote tupo kimya…
Namaanisha hakuna story za maana tunaongea zaidi ya ngono… sijui labda kwasababu bado penzi jipya
Hiyo kwangu haina shida nataka tu anijali kama hivyo tumetoka kuonana basi aniulize hata kama nimefika
Hii point nimeiweka ili wale wa kuniuliza kama mimi ni ombaomba.. mjue tu tunawapaga bure na hamtujali
Maisha yenyewe mafupi . Au huoni raha akifanya anakuumiza?Kweli mkuu
We mama mkwe nae Una kihelehele kwelisasa si umwambie unauza akulipe kiliko kumpa bure? miezi minne ushavuliwa chupi zaidi ya mara mbili! mtu anakutafuta akiwa nanyege ashakuona we ni sex mashin wake, hujalogwa wala nn inaonekana anakukuna vizuri sana kiasi unarukwa na akili? ukiitambua thamani yako binti ndipo wengine watakuthamini.
Kwahiyo unataka akupe hela?jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Achana nae mimi nakupenda zaid ya huyo jamaaSio mchawi
Sawa mkuu
Bado ujasema mkuuHahahaaaa jf raha