Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Kama hakupigii si umpigie wewe?? Nani amesema kwenye mahusiano anayepaswa kupiga simu ni mwanaume tu??


Aidha, kama hakupi pesa basi muombe atakupa.
 
Ni kweli kwasababu pia na mimi ninakuwa nina hamu ya kufanya nae.. but kila nikimaliza hapo huwa najisikia vibaya
Kama unaenjoy kwani kuna shida dada angu?? Enjoy bana maisha mafupi haya
 
Unafanya kazi gani
 
Hapo sasa ni kuchanganyikiwa kwa shauri mbalimbali mwengine hakupendi mwingine anakupenda… mwingine kaniambia mie kabaya simvutii anapenda papuchii 😂😂

Basi bhn asante kwa ushaurii Mimi nitachukua yanayonifaa
Ishi na huo ushauri wangu utanishukuru baadae..!
 
Tangu mwanzo yuko hivyohivyo
 
Sawa
 
Sawa
 
Kama hakupigii si umpigie wewe?? Nani amesema kwenye mahusiano anayepaswa kupiga simu ni mwanaume tu??


Aidha, kama hakupi pesa basi muombe atakupa.
Sina cha kuongea nae mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…