Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Joo kwangu achana na chekibobuu huyoo.. acha ubishi..🙂Kazi ya pesa ni nini mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joo kwangu achana na chekibobuu huyoo.. acha ubishi..🙂Kazi ya pesa ni nini mkuu
Price tag huwa wanatoa malayaHaujampa price tag yako ndo maana anahisi unatoa bure
Chekibobu ndio niniJoo kwangu achana na chekibobuu huyoo.. acha ubishi..🙂
🥴🥴🐒🐒🐒Chekibobu ndio nini
Acha kabisaaPrice tag huwa wanatoa malaya
huyo kapenda so ni priceless zero value!
Duh sawaChips mayai
Hakuna kitu kinamchanganya mwanamke kama a broke nigga that fvcks her wellsasa si umwambie unauza akulipe kiliko kumpa bure? miezi minne ushavuliwa chupi zaidi ya mara mbili! mtu anakutafuta akiwa nanyege ashakuona we ni sex mashin wake, hujalogwa wala nn inaonekana anakukuna vizuri sana kiasi unarukwa na akili? ukiitambua thamani yako binti ndipo wengine watakuthamini.
Sio broke huyu jmn angekuwa broke nahisi angenila mara 50 ndani ya hiyo miezi… yuko bize na kazi zake and fvcks normally tuHakuna kitu kinamchanganya mwanamke kama a broke nigga that fvcks her well
Team kataa ndoa nafikiriWewe na huyo mwasherati mwenzako oaneni mfanye kihalali.
Huwa anakojolea ndani?Sio broke huyu jmn angekuwa broke nahisi angenila mara 50 ndani ya hiyo miezi… yuko bize na kazi zake and fvcks normally tu
Lakini unafika 🤔Sio broke huyu jmn angekuwa broke nahisi angenila mara 50 ndani ya hiyo miezi… yuko bize na kazi zake and fvcks normally tu
Kwa kweli mkuu sijawahi kukuelewa , yaani kila nikiunganisha nyuzi zako nashindwa kupata pattern au correlation kabisa kuhusu wewe.....Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
😄😄😄sasa akojolee wapiHuwa anakojolea ndani?
Kikubwa hikoLakini unafika 🤔
SawaBrother yupo vizuri ila ww unataka kuharibu mapenzi ya KIFILIPINO sio dil tena,,, kila mara nikutext,,kila mara nikupigie mara ooooh kata ww aaahhh et kata ww heeeeee muda ni mali aseeeee ,,, NA NAULI ANAKUPA ?? yupo vizuri aseeeee we zingatia la KUTO......haya mengine ni ya bongo movie piga chini
Usiunganishe basiKwa kweli mkuu sijawahi kukuelewa , yaani kila nikiunganisha nyuzi zako nashindwa kupata pattern au correlation kabisa kuhusu wewe.....