Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Pole sana dada yake na mimi kwa changamoto hiyo ya kimahusiano, nafikiri ni changamoto ya mahusiano ya pande zote hata wanaume tunazipitia lakini mi ningependa kabla sijakushauru nirejelee reflection ya literally works zinamchora mwanamke as a tool of sex kwa mwanaume kwo wanaume wengi bado tuna mentality nyingi za kuwa mitazamo hiyo kwa wanawake wetu tulionao kwenye mahusiano ya kimapenzi. Hivyo ningekushauru utambue kuwa mapenzi ya kweli ya utayapata kwa mtu anayekupenda pekee na siyo unayempenda kwani mtu anayekupenda akili na focus yake iko kwako kwa 75% kati ya 100% lakini ukimpenda unayempenda Kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na hatari ya kupenda moyo wa mtu mwingine thus unakuta hata yeye hakufikirii zaidi ya kukutumia kwenye sex tu.
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Pole sana dada yake na mimi kwa changamoto hiyo ya kimahusiano, nafikiri ni changamoto ya mahusiano ya pande zote hata wanaume tunazipitia lakini mi ningependa kabla sijakushauru nirejelee reflection ya literally works zinamchora mwanamke as a tool of sex kwa mwanaume kwo wanaume wengi bado tuna mentality nyingi za kuwa mitazamo hiyo kwa wanawake wetu tulionao kwenye mahusiano ya kimapenzi. Hivyo ningekushauru utambue kuwa mapenzi ya kweli ya utayapata kwa mtu anayekupenda pekee na siyo unayempenda kwani mtu anayekupenda akili na focus yake iko kwako kwa 75% kati ya 100% lakini ukimpenda unayempenda Kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na hatari ya kupenda moyo wa mtu mwingine thus unakuta hata yeye hakufikirii zaidi ya kukutumia kwenye sex tu.
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake

Unavolalamika khaa!! Mwanzo nilikuwa naanza kujawa hisia za huruma, lakin mwisho wa uzi sijakuonea hata. Mtu mnamiez mi 4 ila malalamiko kama mnamiaka, umempa tamu mara 2 tuu lkn utazan unampaga kilasiku??

Hapo we tulia, mapenzi yanaeza anza bardi na yakaja kuwa hot kadri siku zinaenda. Kuna mengi hujajua kuhusu jamaa na yeye hivohivo hajui kuhusu wew ila kadri mtavizid kupeana mtajuana navmambo yatakuwa powa. Punguza matarajio makubwa kutoka kwake na wacha mapenzi ya runinga utakuwa n furaha.
 
Unavolalamika khaa!! Mwanzo nilikuwa naanza kujawa hisia za huruma, lakin mwisho wa uzi sijakuonea hata. Mtu mnamiez mi 4 ila malalamiko kama mnamiaka, umempa tamu mara 2 tuu lkn utazan unampaga kilasiku??

Hapo we tulia, mapenzi yanaeza anza bardi na yakaja kuwa hot kadri siku zinaenda. Kuna mengi hujajua kuhusu jamaa na yeye hivohivo hajui kuhusu wew ila kadri mtavizid kupeana mtajuana navmambo yatakuwa powa. Punguza matarajio makubwa kutoka kwake na wacha mapenzi ya runinga utakuwa n furaha.
Sawa mekuelewaa
 
Pole sana dada yake na mimi kwa changamoto hiyo ya kimahusiano, nafikiri ni changamoto ya mahusiano ya pande zote hata wanaume tunazipitia lakini mi ningependa kabla sijakushauru nirejelee reflection ya literally works zinamchora mwanamke as a tool of sex kwa mwanaume kwo wanaume wengi bado tuna mentality nyingi za kuwa mitazamo hiyo kwa wanawake wetu tulionao kwenye mahusiano ya kimapenzi. Hivyo ningekushauru utambue kuwa mapenzi ya kweli ya utayapata kwa mtu anayekupenda pekee na siyo unayempenda kwani mtu anayekupenda akili na focus yake iko kwako kwa 75% kati ya 100% lakini ukimpenda unayempenda Kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na hatari ya kupenda moyo wa mtu mwingine thus unakuta hata yeye hakufikirii zaidi ya kukutumia kwenye sex tu.
Sawa
 
HI
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Hii ni chai tu! Umeanza kwa kutupa picha kuwa jamaa anakutumia kwa sex tu halafu huku mwisho unasema mahusiano yenyewe ni ya miezi minne na mmesex zaidi ya mara mbili! are you serious? Halafu unaleta issue ya pesa na kumpa bure WTF!
 
Joannah Labella njooni mumsaidie mwenzenu huku anagawa mbususu kwa hela ya nauli🤣🤣🤣🤣

Ila sasa lakini sii anakigegeda vizuri wee ridhika maana nagekuwa hakugegedi vizuri usingekuwa unakipeleka
Huyu bwana story zake huwa zina manjegeka sana😂😂😂😂Sasa si amuombe hela hajui mapenzi ni bata trade?
 
Hizi lawama za nn ikiwa mahusiano yana miezi minne na mgegedo ni mara mbili???? Kibaya zaidi mara zote mbili umepewa nauli! Unataka upendo wa aina gani tena????
 
Back
Top Bottom