Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Dah...mwananq Hilo zigo co. Asa mbna km anafos kwa la lazma? Icje kuwa Ana mdudu tiar xaxa anagawa kwa wengn. .. Dah
 
Nilivyosoma huu uzi ndio nikajua kumbe nishaanza kuzeeka.
 
We!! Mm mwanachuo mtarajiwa!!!
Unaenda vipi kwa watu wakati bado unanyonya acha wakusemee kwenu. Ulifanya homework kwanza. Watu tunajadili mahusiano kati ya Dada Rosa na Mugalu na tunataka tume huru iundwe kuchunguza why Mama alitaka kuongea kiswahili UN lakini akakosa Mkalimani! Wewe unakuja na kutakwa na Mwanamke. Hovyo sana nyie watoto.
 
Hapa ndio JF bana, the home of a great thinkers!
Ndo maana mi huwa sipend kulopoka lopoka hapa, maana unaweza kuumbuka bure, ukihurumiwa sana utaambiwa "uache utoto!"
Kuna watu wamekomaa kuchambua hoja, kuidadavua, kuichunguza na kutoa bonge la conclusion!

Ohooo! Hapa ni JF bana!
 
Nimeshindwa kudetermine uwezo wa akili wa mtoa mada aisee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa mie kosa langu liko wapi hapo!! Kuleta mada mezani au!!
Basi, kama haina maana tuongelee simba na yanga!! Make huku ni kuuana vibe. Mwishowe ni sign out jf
 
Nilivyosoma huu uzi ndio nikajua kumbe nishaanza kuzeeka.
Hv ukitaka kufuta account ya jf unaftaje?? Make nahc nimeingilia dirishani! Watu hawana huruma.
Tulia, atatokea mtu mwngne aanzishe thread kama hii, sitomuonea huruma, ntamcomment siku nzma!!
 
Mkuu Iviii geto huna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lipo, sema alikataa mwenyewe kujixhoresha pale coz majirani wapo wapo mda wote na wanamfaham! Si unajua nyumba za kupanga zenye series ya vyumba!! Yaliyopita si ndwele, tushauriane tunafanyeje ma thinker wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…