Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Ananitaka kimapenzi kisa kanikuta na mwanae

Tarehe 24 ya mwezi wa nane niliomba maelekezo kwa msichana mmoja hivi demu wangu!! Akanikubalia tukakubaliana tuimalizie kwao. Dah!! Kama huna bahati ni huna tu, tukakutwa na maza mtu, alisukuma mlango ghafla, kumbe yule demu hakuwa ameufunga, aliuegeshea!! Alichokifanya alitupiga picha kwa camera ya simu yake, kisha akaanza kufoka akanitisha kusema home.

Mmh! Lakini muda natoka nje, akasema tuonane jioni tuyamalize!! Jioni hiyo akasema tutafute muda nimtimizie then kesi iishe! Duh, ukimuona, ni mkubwa, 40 na kuendelea anazo! Mnene hadi unaogopa!! Halafu sitaki hom wajue kuwa nilivusha yule dem kwao. Nifanyeje sasa, nimtimizie yaishe au nifanye nini jaman, mimi mwenyewe 21 tu!!!
Dah...mwananq Hilo zigo co. Asa mbna km anafos kwa la lazma? Icje kuwa Ana mdudu tiar xaxa anagawa kwa wengn. .. Dah
 
Nilivyosoma huu uzi ndio nikajua kumbe nishaanza kuzeeka.
 
We!! Mm mwanachuo mtarajiwa!!!
Unaenda vipi kwa watu wakati bado unanyonya acha wakusemee kwenu. Ulifanya homework kwanza. Watu tunajadili mahusiano kati ya Dada Rosa na Mugalu na tunataka tume huru iundwe kuchunguza why Mama alitaka kuongea kiswahili UN lakini akakosa Mkalimani! Wewe unakuja na kutakwa na Mwanamke. Hovyo sana nyie watoto.
 
Uongo, Chai
Hizo ni stori tu ila kiharisia hazipo
Kwanza akikukutiliza badala ya kushangaa awahi simu kukupiga picha, haiwezekani,
Mda anashangaa ubaki uchi bila kuvaa, haiwezekani!
Akupige picha uko na mwanae, haiwezekani!

Katika dunia hii nayoishi wanawake hawana nyege hizo za kutumia kuforce tendo la mara moja ili wapotezee, sie wanaume ndo tuko hvyo, coz sie tunachotaka ni sex tu na tuna fall out of love after sex, its opposite for women,

Nb;
Hii stori muhusika angekuwa binti ingeaminika, we are who we're
Hapa ndio JF bana, the home of a great thinkers!
Ndo maana mi huwa sipend kulopoka lopoka hapa, maana unaweza kuumbuka bure, ukihurumiwa sana utaambiwa "uache utoto!"
Kuna watu wamekomaa kuchambua hoja, kuidadavua, kuichunguza na kutoa bonge la conclusion!

Ohooo! Hapa ni JF bana!
 
Nimeshindwa kudetermine uwezo wa akili wa mtoa mada aisee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sasa mie kosa langu liko wapi hapo!! Kuleta mada mezani au!!
Basi, kama haina maana tuongelee simba na yanga!! Make huku ni kuuana vibe. Mwishowe ni sign out jf
 
Nilivyosoma huu uzi ndio nikajua kumbe nishaanza kuzeeka.
Hv ukitaka kufuta account ya jf unaftaje?? Make nahc nimeingilia dirishani! Watu hawana huruma.
Tulia, atatokea mtu mwngne aanzishe thread kama hii, sitomuonea huruma, ntamcomment siku nzma!!
 
Mkuu Iviii geto huna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lipo, sema alikataa mwenyewe kujixhoresha pale coz majirani wapo wapo mda wote na wanamfaham! Si unajua nyumba za kupanga zenye series ya vyumba!! Yaliyopita si ndwele, tushauriane tunafanyeje ma thinker wenzangu
 
Back
Top Bottom