Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Jaman nna mpenz wang ananzd miaka 8 lakin kiukwel tunapendana sana,tatzo lipo mtaan kwe2 wanatudis sana,naomben ushaur wenu me nna 20 yy ana 28
ha ha hah ushauri ni kwamba usiangalie watu wakitaa wanasema nini nyie fanyeni yenu............ hii baridi kudadeki
Ni hatari, watu wana ukwiru balaaa.
Acheni tu....watu tumekabwa kweli kweli....
ha ha hah ushauri ni kwamba usiangalie watu wakitaa wanasema nini nyie fanyeni yenu............ hii baridi kudadeki
huyo jamaa ana miaka 45 ila anacheza kama mtu mwenye miaka 26
age is just a number
waendelee hata kipindi cha jotrooooo pia
ha ha cha joto wanafanya kidogo sijui
nahisi wataacha kabisaaa hawa..., kama kipindi hiki kipima upendo chao kinasoma 50% wakati vya wenzao vinasoma 100% kwa kipindi hiki cha mpito tu lakn