Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Habari wakuu,
Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8 mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani kuna ubaya wowote mpenzi wako akikuzidi umri.
Naomben ushauri
Jaman nina mpenzi wangu ananizidi miaka 8 mimi nina20 yeye ana 28, lakini kiukweli tunapendana sana,tatizo lipo mtaani kwetu wanatudis sana na kutufanya tukose amani.Wakuu kwani kuna ubaya wowote mpenzi wako akikuzidi umri.
Naomben ushauri