Ananizidi umri lakini tunapendana sana

Go ahead bro sio inssue sana bora tu mnapeana heshima!! Unaweza ukaoa mdogo wako na akakuzingua vilevile!! Binadam hujifanya wana formula za maisha ila wanafeli kila kukicha usiwasikilize!
 
Sasa hapa watu mnashauri au mnapotezana? Miaka 8 kwa mwanamke ni gape kubwa sana.
 
Mwanamke kumzidi mwanaume miaka8 hilo sio jambo la kawaida kwenye ndoa, lazima liathiri huo uhusiano.
 
Duuh asee kazi ipo
 
Kama wewe ni wa kiume uzidiwe 8 kweli ni kitu cha ajabu l
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…