Anaomba msaada wa hii kozi tafadhali

Anaomba msaada wa hii kozi tafadhali

Kama unawaza ajira hapo sahau.
Kozi yako ina nafasi chache za ajira.
Cha kufanya kwa kuwa Course yako kwa upande wa UDSM ipo chini ya CONAS na UDOM ipo chini ya Utawala wa CNMS, kabadili course, soma Bachelor of Science in Chemistry ama pia pale UDSM soma Food Science.

Achana na Aquaculture, utapotea.
It's a good course mkuu
 
Cha msingi hapo nikuzidi kujielimisha kuhusu Hio kozi ya Aquaculture kwa machache nafahamu inahusu elimu ya uzalishaji,utunzaji,utunzaji na uvunaji wa samaki.Lengo kuu ni elimu kuhusu samaki kwa ufupi japo ukiingia katika website na ushauri zaidi unaweza pata madini .

Kwa Imani yangu anapofika chuo atajifunza mambo mengine ukiachana na samaki kama Uchumi,maisha n.k ,Elimu ya sasa kupata ajira ni changamoto sana unaweza ukasoma aquaculture ukaishia kuwa mwalimu,afisa ugani n.k yaani hayo ndo maisha mwanzoni hapa unaweza ona huwezi ila maisha yakikunyoosha vizuri kazi yoyote yenye tija unapiga
 
Kama unawaza ajira hapo sahau.
Kozi yako ina nafasi chache za ajira.
Cha kufanya kwa kuwa Course yako kwa upande wa UDSM ipo chini ya CONAS na UDOM ipo chini ya Utawala wa CNMS, kabadili course, soma Bachelor of Science in Chemistry ama pia pale UDSM soma Food Science.

Achana na Aquaculture, utapotea.
Uoande wa UD ipo chini ya TAFIRI
 
Mwambie akasome hiyo course utakuja kunishukuru ,hiyo kozi inadili na ukuzaji viumbe bahari ni kozi nzuri sana na ajira zake ni nje na ndani ya nchi. Watalaamu wa mariculture na aquaculture wanatafutwa sana na pia unaweza kujiajiri mwenyewe ukapiga pesa balaa
 
Hapo kweli nilikuwa sielewi inahusu nn niliona jina la kozi n zuri hapo atasugua mtaani mpk akome ss nmemwambia anasema hawez omba chuo chengine tena kwa mfumo wa tcu labda mpk mwakan na hawez kughairi kusoma mwaka huu nmemwacha analia tu
Hawezi kuomba chuo kingine nani kasema
Ombeni chuo kingine kozi nyingine atachaguliwa tu hiyo ya kwanza TCU watacancel wenyewe huko mbona mifano ipo ya watu walifanya hivo hamna haja ya kusubiri mwakani
 
Mwambie akasome hiyo course utakuja kunishukuru ,hiyo kozi inadili na ukuzaji viumbe bahari ni kozi nzuri sana na ajira zake ni nje na ndani ya nchi. Watalaamu wa mariculture na aquaculture wanatafutwa sana na pia unaweza kujiajiri mwenyewe ukapiga pesa balaa
Sw mkuu uzuri wa JF ñdo huu ss kuna wengi tu watakuwa washaelewa nn maana ya hii kozi kupitia huu uzi so shukrani ntafikishia yote haya akili iwe kichwan mwake mwenyew ss
 
Hapo kweli nilikuwa sielewi inahusu nn niliona jina la kozi n zuri hapo atasugua mtaani mpk akome ss nmemwambia anasema hawez omba chuo chengine tena kwa mfumo wa tcu labda mpk mwakan na hawez kughairi kusoma mwaka huu nmemwacha analia tu
😂 Wanawake bhana 😂 sasa hapo analia nn
Mwambie abadili kozi tuu mana pcb atapata kozi nyngn nzuri tuu.
Hapo ety tcu hawatokubali kuchagua kozi/chuo kingine amedanganya aisee
 
😂 Wanawake bhana 😂 sasa hapo analia nn
Mwambie abadili kozi tuu mana pcb atapata kozi nyngn nzuri tuu
😆😆😆😆 yaani shida kimeona wenzake wamechaguliwa cjui nursing ndo kipo na stress hatar namwambia haya maisha kila mtu kaandikiwa na maisha yake ss wote wawe ma nurse huko kazini mtaendaje
 
Hyo kozi mpaka Jeshini na JKT imepewa kipaumbele kiufupi tunakoelekea itakuwa na demand kubwa alafu wengi wanaosoma hyo kozi ni watumishi wizara ya uvuvi na halmashauri idara ya uvuvi kwahyo unasoma na watu wenye connection .
 
Hyo kozi mpaka Jeshini na JKT imepewa kipaumbele kiufupi tunakoelekea itakuwa na demand kubwa alafu wengi wanaosoma hyo kozi ni watumishi wizara ya uvuvi na halmashauri idara ya uvuvi kwahyo unasoma na watu wenye connection .
Dah yaan dogo kila nikiliambia toka asubuhi halielewi nmegoogle iyo ishu kumbe n potensho wanang kuna mpk mashirika yanasimamia uharibifu wa mazingira maeneo ya majini lazima uwe umesoma iyo kozi aisee n kweli iko vxur ila bhas mwache akabadili anasema bora akasomee unurse
 
Mkuu naamini Mungu anampeleka huko(syo coincidence kuchaguliwa the same course Kwa vyuo viwili tofauti).....kuhusu kutoboa/kupata Kaz ni mipango ya Mungu( the good thing Kuna uwezekano mkubwa wa kujiajiri)
Blue economy ni big agenda right now and nawajua watu wanaomake alot of income kupitia hizo course......
Usimpe moyo , yaani asote miaka 3 akisomea dagaa na vyura ili aje achimbe mabwawa ya samaki ?
 
Kuna binti kamaliza form six mwaka huu kaomba chuo kapata vyuo viwili na alikuwa anasoma PCB kapata UDSM na UDOM lakini kozi aliyopata ndo haelewi kozi yenyewe ni Aquaculture vyuo vyote viwili kapata kozi iyo ss anauliza vp iyo kozi ajira zake zimekaaje
mwache dogo akasome hiyo kozi ni nzuri sana me washkaji zangu wamelamba ajira mafia island mwaka juzi 2022
 
Dah yaan dogo kila nikiliambia toka asubuhi halielewi nmegoogle iyo ishu kumbe n potensho wanang kuna mpk mashirika yanasimamia uharibifu wa mazingira maeneo ya majini lazima uwe umesoma iyo kozi aisee n kweli iko vxur ila bhas mwache akabadili anasema bora akasomee unurse
Ipo siku utatukumbuka humu, mwambie akasome afya,

Mimi mdogo wangu alikuwa anapenda kusomea BWANA AFYA nikampiga stop aache huo ujinga .akaenda kusoma radiology na sasa Yupo mwaka wa mwisho degree muhas ameanza kupiga pesa huku anasoma.
 
Back
Top Bottom