Anaomba ushauri, achepuke?

Je unazijua mbinu za midani?
 
Kwanini unajifanya mwanamke ilhali wewe ni KIDUME???
 
Karibu kwangu baby Nakupenda siwezi kuishi bila wewe
 
Hii ndo shida ya kuoa malaya .
Anatafuta validation ya kuzini.
Unalipa kisasi kwa kuzini, what if ukaenda uko ukaungua kabisa?
Finished woman.
 
Reactions: _ly
Zinaa ni deni, hapo hakuna ushauri utausikia mpaka ulipe deni alokopa mumeo......

Mkumbuke Mungu, moumbe msamaha.
Malaya hatakuelewa. Huyo kashaamua, kashahamisha hisia kwa mtu mwingine, wasichojua wanawake, anayekudanganya atakuacha ukiachwa.
 
Kitu chako afu tuku shauri sisi jinsi ya kuki tumia alaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…