Anaomba ushauri, achepuke?

Anaomba ushauri, achepuke?

Fine Wine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2023
Posts
595
Reaction score
1,686
Anonymous member

Nyie majeshi msokuwa na vifaa vya vita salamaleko [emoji3526] nataka kuchepuka... Ipo hivi mume wangu alichepuka mwaka jana nikipata sms nkagundua hilo alifuta bahati mbaya/nzuri nilizipata kwenye ricyclebin baada yakunipa simu yake nitumie, sasa nilichukia sana aliomba msamaha ila kiukweli moyoni sijasamehe kabisa cz hata tukikosana nakumbushia hilo[emoji53]naona hadi niweze kusahau lazima na mimi nchepuke tu ndo roho itatulia, kwasasa yupo kikazi mkoani anajifanya kunipenda sana (Huwa ananipenda)lakini namuona kabisa ana wasiwasi kwa vile hayupo karibu anajua pengine nitakuwa natoka kuzurula hovyo (kawaida Huwa nipo home tu) sasa Kila mda video call anajidai anamsalimia mtoto[emoji57].... Nina Vimeo huko nje vinanitaka sasa nawaza niende tu nkabadilishe jasho huko kidogo[emoji39]huko alipo huyu msaliti atakaa miezi4-5 bila kuonana, haya nishaurini mwanajeshi mwenzenu.
 
Anonymous member

Nyie majeshi msokuwa na vifaa vya vita salamaleko [emoji3526] nataka kuchepuka... Ipo hivi mume wangu alichepuka mwaka jana nikipata sms nkagundua hilo alifuta bahati mbaya/nzuri nilizipata kwenye ricyclebin baada yakunipa simu yake nitumie, sasa nilichukia sana aliomba msamaha ila kiukweli moyoni sijasamehe kabisa cz hata tukikosana nakumbushia hilo[emoji53]naona hadi niweze kusahau lazima na mimi nchepuke tu ndo roho itatulia, kwasasa yupo kikazi mkoani anajifanya kunipenda sana (Huwa ananipenda)lakini namuona kabisa ana wasiwasi kwa vile hayupo karibu anajua pengine nitakuwa natoka kuzurula hovyo (kawaida Huwa nipo home tu) sasa Kila mda video call anajidai anamsalimia mtoto[emoji57].... Nina Vimeo huko nje vinanitaka sasa nawaza niende tu nkabadilishe jasho huko kidogo[emoji39]huko alipo huyu msaliti atakaa miezi4-5 bila kuonana, haya nishaurini mwanajeshi mwenzenu.
we sema una hamu zako tu
 
chakukushauri acha tu. utaharibu, af kama naona unataka kuchepuka kwa mtu umemzimikia, usijaribu kabisa😊
 
Mke wangu usifanye hivo.
Basi naomba wale wapangaji wote wakulipe wewe hio pesa ya mwezi huu na ununue unachotaka,
ikibidi umtumie na mama yako hapo kalibu na tanesco.
 
Mbona mwandiko kama wakiume huu?Yote Kwa yote k ni yako nenda kaliwe,maana hata huyu mumeo ni mbuzi tu anaachaje ushahidi recycle bin?
 
Back
Top Bottom