Anaomba ushauri: Alimuacha mke kwa miaka 9 (bila kumpa talaka kwa ndoa ya kiislamu), sasa anataka warudiane wakati mke alishaolewa!

Anaomba ushauri: Alimuacha mke kwa miaka 9 (bila kumpa talaka kwa ndoa ya kiislamu), sasa anataka warudiane wakati mke alishaolewa!

Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Kama sio unakichaaa una wazimu 🐒
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Broo
 
Kumbe shida yako ni akupe mtaji? Jitu zima huna aibu unataka upewe mtaji na mwanamke? Wazazi wako wana hasara.
 
Dio mimi, mimi messenger tuuu.. ila nikipokea tusi ntamtukana pia

Dogo utamtukana wapi stori ya ku-copy na ku-paste ya mwaka 2021 hii...

Screenshot_20240509_090128_Facebook.jpg
 
Pole sana mkuu we pambana na hali yako tu usimuaze.
Kukaa miaka 9 bila ata mawasiliano alafu ni mkeo wa ndoa ata ingekuwa wewe lazima unge move on
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
kwa mujibu wa sheria talaka umeishatoa,mkeo anaishi ki halali na mume wake,rudi kwenu kaanze upya kutafuta maisha
 
Mods naomba kwenye hili bandiko mruhusu tutukane, huyu mleta mada ni mshenzi wa tabia sana. Na hapo picha linaanza utateseka kisaikolojia mpaka ukome.
 
Back
Top Bottom