Anaomba ushauri: Alimuacha mke kwa miaka 9 (bila kumpa talaka kwa ndoa ya kiislamu), sasa anataka warudiane wakati mke alishaolewa!

Anaomba ushauri: Alimuacha mke kwa miaka 9 (bila kumpa talaka kwa ndoa ya kiislamu), sasa anataka warudiane wakati mke alishaolewa!

Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
wasaKj8I_400x400.jpg

Jipige kifuani mara mbili alafu sema MIMI NI FALA
 
Serikali ina kazi kweli kweli. Hivi huyu jamaa naye ni raia wa Tanzania??!!!!🤔🤔🤔 yaani ninakushauri nenda mirembe ukapime akili kwanza halafu uje tukupe ushauri.
 
Wewe jamaa tafuta kibunda tu ...ulimuacha mwenyewe sahiz unataka umrudia miaka 9 huna aibu na unaomba mtaji mwache mwenzio alea watoto
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Unamuacha miaka 9?. Na mwili huu huu?. Aisee hata angekuwa nani angetafuta namna nyingine
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Hiyo inaitwa FIMBO YA MUNGU..ugulia tu maumivu
 
We jamaa ni jinga la kutupwa hufai kuwa mwanaume kabisa, umejidhalilisha.
 
Inawezekana alikwenda omba talaka kwa Mufti(mahakama ya kadhi). Kumbuka huyu mke ulimtelekeza kwa miaka 9 sasa unataka akusubiri tu?. Maneno yako umesema unataka akupe mtaji ndio utowe talaka sasa shida yako mtaji au mke?.
🤣🤣🤣😂😂Ye mwenyewe hajui anataka nini
 
Tumuombee mwenzetu msamaha, hamjawahi kukosea kosa dogo kama hilo?
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Mpumbavu wewe.
 
Hii ni chai kabisa..wananchi msikasirike..maana kuna watu mnataka kupasuka
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
Hapo cha kufanya, ajipeleke gereza lolote akaombe afungwe kwa miaka miwili na kazi ngumu ili ajifunze kuwa maisha siyo kuishi ishi tu ila ni kuunda rekodi njema.

Ova
 
Mimi ni kijana nina miaka 37, nimeoa ndoa yangu ina miaka 12 sasa, kuna kipindi nilipata mwanamke mwingine, niliondoka na kwenda kuishi naye, kweli nilimuacha mke wangu na watoto wawili na sikuwa nikihudumia kwakua kipato kilikua cha shida, lakini sikumpa talaka kwani sisi wote ni waislamu. Kwa miaka kama tisa hivi nilikua sijakanyaga nyumbani nilianzisha familia nyingine nikawa naishi na huyo dada, sikuhudumia si kwakua sikutaka bali kwakua sikua na kazi.

Mwaka jana huyo mwanamke niliyekua nikiishi naye alimua kuniacha, aliondoka na kwenda kuishi na mwanaume mwingine. Aliniacha kwa dharau na matusi nikaona kwakua hatukufunga ndoa basi niondoke, aliondoka na wanangu wawili na mpaka sas ahataki hata nihudumie watoto. Kwanza niliona aibu kurudi nyumbani lakini baada ya kuongea na marafiki zangu walinishauri nirudi kulea familia. Mimi kwetu ni shinyanga na huyo mwanamke niliyekua naishi naye alikua akiishi Mwanza.

Nilirudi nyumbani lakini cha ajabu niliambiwa kuwa mke wangu alikua kaondoka mua mrefu kaondoka na watoto wangu. Roho iliniuma sana, kwani alikata mawasiliano kabisa na ndugu zangu na walikua hawajui kama yuko wapi? niliamua kwenda mpaka kwao, Moshi Kilimanjaro, mke wangu yeye ni mpare, nilienda na kuongea na ndugu zake, kwanza walinishangaa na kuniambia kuwa mke wangu alirudi nyumbani na kuwaambia kuwa nimempa talaka, alianza maisha na sasa anishi Dar anafanya kazi.

Baada ya kuondoka kwetu nilipokua nimemuacha alirudi akawaacha watoto nyumbani kwao akaenda kusoma chuo kwani wakati nilimuoa alikua na Diploma. Alimaliza Digrii na sasa hivi anafanya kazi kwenye benki moja ni mtu mkubwa tu. Niliamua kwenda dar kumtafuta, niliwaambia ndugu zake ninachotaka mimi ni kuwaona watoto wangu basi. Nilienda nikamfuata ofisini, alinipokea vizuri tu na kuniruhusu kuwaona watoto lakini hakuruhusi niende kwake. Tatizo nikuwa mimi nimejirudi, nataka kurudiana na mke wangu lakini yeye alikua hataki.

Amefunga ndoa na mwanaume mwingine wakati mimi bado nilikua sijampa talaka, nimeuambia hata anipe mtaji ili nimuache nimpe talaka lakini hataki hata kunisikia. Naomba kuuliza hivi sina haki zozote kwa mke wangu? Je mimi sitambuliki kama mume halali wakati sikumpa talaka?
sijui hata niandike nini nahisi hasira alizonazo huyo mke. niishie apa.
 
Achana na wanaokutukana.

Kisheria wewe unatambulika vizuri kabisa,, na Una haki zote Kama wanaume wengine wapumbavu na unastahili kuuwawa.
 
Hivi huyo anayeomba huo ushauri wakati anakuambia huo upuuzi wake hakuona aibu?
 
Sema nini bro, wewe mtu wa ajabu sana!


soma hapa

Kifupi huna ndoa, mwache dada wa watu na maisha yake.
Halafu watu wa hivi hata ukipewa mtaji bado hutaweza kusimama
 
Back
Top Bottom