Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Mkuu umejitoa kabisa usije ukahusishwa na huo ujumbeβSIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
NAKAZIA#KATAANDOA.
Mwenye mke yupo hapa jukwaani ila wewe umeamua kuanzisha uzi ila mhusika yupo kimya!Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka nae namjua sihitaji kuvunja...
Mwambie Wana jamii forum wamesema yeye ni FALA na MPUMBAVU,na asimuache huyo mwanamke ili awahi KUFAHabari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka nae..
Umesema uko wapi.....Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka...
yah mkuuAna shilingi ngapi?Kwa maana....!Anyway,subiri kidogo.Umeeleza kwamba mkewe anachepuka na yeye anamjua anayechepuka naye,siyo?
Acha uongoHabari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka nae namjua sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza...
SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
ππππππMwambie
Mwambie Wana jamii forum wamesema yeye ni FALA na MPUMBAVU,na asimuache huyo mwanamke ili awahi KUFA