Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.
Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.
Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.
SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.
Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.
SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO