Anaomba ushauri mke wake anachepuka

Anaomba ushauri mke wake anachepuka

Ndoa ni mateso kumbe hivyo??? Daah!! Pole sana mkuu sema jikaze kiume fanya maamuzi magumu. Hakuna bahati mbaya hapo kurupuka.(Unaishi na malaya ndani mkuu)

Hallelujah!!!
 
kama unamwanamke aliyezaliwa 90 kuja 2000 kushare ni kawaida sana.
Kwaharakaharaka inawezekana katika hiyo ndoa mkeo hana miaka 30 ndo kwanza kumekucha!
lakini kilichokibaya mitandao imeongeza uovu viko vitu hawezi share na wewe lakini anaweza share nje.
cha msingi kaa ukijua kila mapungufu ipo sehemu yako jipime na uone inawezekana wewe ukawa sababu ya yeye kuchepuka jifanyie SWOT mkeo akiwa fursa na jamaa akiwa mshindani wako kisha jisahihishe.
inawezekana fedha, au unafedha lakini hujui mwenzako anataka nini au staili ya maisha unayoishi.
 
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.

Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.

Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.

SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Hakuna Msaada wowote, piga chini mwanamke mzinzi!!!
 
Kama anasema hawezi kumwacha huyo mkewe mchepukaji basi na mimi namshauri aendelee kuvumilia tu hamna namna.

Sisi hatuwezi kuingia kwenye akili ya Mkeo na kumfanya aache kuchepuka. Wala hatuwezi kumwambia huyo jamaa aache kula chakula chako.

Hakuna namna, wewe vumilia tu mpaka ufe kwa presha umwache Mkeo achakatwe kwa uhuru zaidi.
 
Back
Top Bottom