Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
- Thread starter
- #21
SOMA VIZURI MKUU MWISHONI.Umesema uko wapi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SOMA VIZURI MKUU MWISHONI.Umesema uko wapi.....
Muwe wavumilivu hali ni mbaya watu wanashindwa kujivua uhusikaPole mkuu naona title mke wake ndani maudhui ni mke wako
😆😆😆Muwe wavumilivu hali ni mbaya watu wanashindwa kujivua uhusika
Hakuna Msaada wowote, piga chini mwanamke mzinzi!!!Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.
Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.
Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.
SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Naomba upokee simu sasa.....SOMA VIZURI MKUU MWISHONI.
Kwani inahitajika sh.ngapi kumpata shuga daddyAna shilingi ngapi?Kwa maana....!Anyway,subiri kidogo.Umeeleza kwamba mkewe anachepuka na yeye anamjua anayechepuka naye,siyo?
Ni moyo imara tu wa kuvumilia kisukari chake kinapopanda mkiwa uwanja wa Wimbley.Kwani inahitajika sh.ngapi kumpata shuga daddy
Alisahau kuwa alitaka kusema anamsemea rafiki yake. Kumbe ni yeyePole mkuu naona title mke wake ndani maudhui ni mke wako