Anaomba ushauri mke wake anachepuka

Dawa ya mwanamke malaya ni kumpiga chini tu kinyume na hapo ipo siku utashangaa anato,,,,,mbewa kwenye kitanda chako chukua hatua mara moja
 
Huyo rafiki yako ni mtu hatari ana itaji uangalizi maana ana weza ua mtu mpeleke kwa wataalam wampe ushauri mental health is real
 
Mwambia aombe threesum tuu hapo na huyo mujamaaa mwengine
 
Kwa aina ya ushauri anaoomba tu inaonyesha bado akili yake haiposawa.
Inawezekanaje umejua unajini na unataka upatane naye?
 
Niww bwege mkubwa
 
Hata ukisema ni wewe hakuna wa kukuchapa mkuu
 
Mwana ni msukuma?
 
Mwambie naye atafute binti mzuri pembeni.
Kumnyoosha mwanamke ni kumtumia mwanamke mwenzake.
 
Hahaha natmani kukusaidia maana najua unampenda ila ndio hivyo anakutesa.

Mke wako ni mweupe kutoka Bariad aliwahi kuishi Kigoma kama ndio huyo Pole sana mkuu. Dawa yake kwa sasa ni wewe kumpa anachokifuta huko nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…