Anaomba ushauri mke wake anachepuka

Anaomba ushauri mke wake anachepuka

Dawa ya mwanamke malaya ni kumpiga chini tu kinyume na hapo ipo siku utashangaa anato,,,,,mbewa kwenye kitanda chako chukua hatua mara moja
 
Huyo rafiki yako ni mtu hatari ana itaji uangalizi maana ana weza ua mtu mpeleke kwa wataalam wampe ushauri mental health is real
 
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.

Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.

Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.

SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Mwambia aombe threesum tuu hapo na huyo mujamaaa mwengine
 
Kwa aina ya ushauri anaoomba tu inaonyesha bado akili yake haiposawa.
Inawezekanaje umejua unajini na unataka upatane naye?
 
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.

Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.

Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.

SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Niww bwege mkubwa
 
Hata ukisema ni wewe hakuna wa kukuchapa mkuu
 
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.

Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.

Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.

SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Mwana ni msukuma?
 
Habari wakuu mwenzenu nna changamoto Nina mke na mtoto Mmoja lakini kwenye ndoa amani imepotea mke wangu kawa mchepukaji na anaechepuka naye namjua.

Sihitaji kuvunja Sheria wa kufanya ubaya na ananidharau na nashindwa kumuacha kabisa Kila nikitafuta njia moyo unakataa.

Nimejaribu kuwashirikisha rafiki wa karibu wananambia kaniroga ndo maana siwezi kujinasua naombeni msaada kama Kuna mtu ana Moja mtaalam mzuri anisaidie niwafarakanishe na nimtulize mke wangu ndoa itulie awe chini yangu mm nipo mwanza.

SIO MIMI WAKUU, ILA KUNA MWANAUME MWENZETU HUKO ANAOMBA USHAURI NA ATAPITIA HAPA KUCHUKUA NONDO
Mwambie naye atafute binti mzuri pembeni.
Kumnyoosha mwanamke ni kumtumia mwanamke mwenzake.
 
Hahaha natmani kukusaidia maana najua unampenda ila ndio hivyo anakutesa.

Mke wako ni mweupe kutoka Bariad aliwahi kuishi Kigoma kama ndio huyo Pole sana mkuu. Dawa yake kwa sasa ni wewe kumpa anachokifuta huko nje.
 
Back
Top Bottom