Anaonyesha kukupenda ila ukimtongoza anakataa

Anaonyesha kukupenda ila ukimtongoza anakataa

Hahahahah hako ka manzi kana aibu ya kimapenzi! Kanakuonea aibu ukikaambia kwa maneno sasa we mpe kwa vitendo alimradi ushamueleza kuwa unamuelewa nayeye anajua fika hapo kesi hamna!

Dawa yake moja tu huyo, muitie zawadi gex kama anakupenda atakusikiliza na atakuja, kisha mapema tu unapiga kudu mlango!

Kinachofata ni sound pelepeche na tip touchez mwamuzi mechi ukiona kanaleta utata tu vaa sura ya mbuzi zaidi ya elchapo huku ukitalii kwenye mji wa kinenani[emoji12]! Ukishindwa na hapo Toa ujinga wako humu na usije tena kuomba ushauri!

Hahahaha hapo kwenye kudu umenikumbusha mbali sana
 
Nimecheka kwa sauti saaaaana aiseee jf siondoki Karucee wewe una fala sana hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni muhimu sometimes kuwa mjinga mjinga 😂😂

You can't always play smart. It's boring.
 
Mkuu ushasema unapendwa,,, sasa unatongoza ili iweje...

Hapo tumia mbinu za medani attack first,,, angalia target then iweke sawa... Halafu kwa muda wako unaendelea...

Ukitongoza utafanya stori fupi igeuke iwe ndefu...
Kaa kitaalamu...
 
Hivi ndugu zangu hili swala lipoje, unakuta mwanamke upo nae karibu sana anaonyesha kabisa kukupenda, ila ukimtongoza anakataa kata kata[emoji23]

Ukimpoteza anarudi kuwa karibu yaani kiasi kwamba hata mtu baki akiwaona anajua mpo pamoja lakini ukimtongoza ngwalaaa

Hili swala linakuaje
kwasababu kabla ya kumtaka anakuwa na wasiwasi na mfuko wako
ukimtongoza anakuwa amehakikisha hola😅😅😅
moto wa mabua
 
Mkuu ushasema unapendwa,,, sasa unatongoza ili iweje...

Hapo tumia mbinu za medani attack first,,, angalia target then iweke sawa... Halafu kwa muda wako unaendelea...

Ukitongoza utafanya stori fupi igeuke iwe ndefu...
Kaa kitaalamu...
Nimekusoma mkuu ngoja niweke biblia pembeni huu wema utaniponza[emoji23]
 
Hivi ndugu zangu hili swala lipoje, unakuta mwanamke upo nae karibu sana anaonyesha kabisa kukupenda, ila ukimtongoza anakataa kata kata[emoji23]

Ukimpoteza anarudi kuwa karibu yaani kiasi kwamba hata mtu baki akiwaona anajua mpo pamoja lakini ukimtongoza ngwalaaa

Hili swala linakuaje
Uzi wako na hilo jina vimeendana kinyama yani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah katika kitu sijui ni kutongoza wakuu😂😂 Me nkimuelewa dem namuomba tutoke out!! then baada ya out namwambie twende home ukapajue,, tukifika mageto namla kiurahisii! Mwanamke ukimtongoza kwa kumwambia ukimwambia unampenda cjui wanakuchukuliaje bhna!!
 
Back
Top Bottom