Anaonyesha kukupenda ila ukimtongoza anakataa


Hahahaha hapo kwenye kudu umenikumbusha mbali sana
 
Nimecheka kwa sauti saaaaana aiseee jf siondoki Karucee wewe una fala sana hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni muhimu sometimes kuwa mjinga mjinga 😂😂

You can't always play smart. It's boring.
 
Mkuu ushasema unapendwa,,, sasa unatongoza ili iweje...

Hapo tumia mbinu za medani attack first,,, angalia target then iweke sawa... Halafu kwa muda wako unaendelea...

Ukitongoza utafanya stori fupi igeuke iwe ndefu...
Kaa kitaalamu...
 
kwasababu kabla ya kumtaka anakuwa na wasiwasi na mfuko wako
ukimtongoza anakuwa amehakikisha hola😅😅😅
moto wa mabua
 
Mkuu ushasema unapendwa,,, sasa unatongoza ili iweje...

Hapo tumia mbinu za medani attack first,,, angalia target then iweke sawa... Halafu kwa muda wako unaendelea...

Ukitongoza utafanya stori fupi igeuke iwe ndefu...
Kaa kitaalamu...
Nimekusoma mkuu ngoja niweke biblia pembeni huu wema utaniponza[emoji23]
 
Uzi wako na hilo jina vimeendana kinyama yani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah katika kitu sijui ni kutongoza wakuu😂😂 Me nkimuelewa dem namuomba tutoke out!! then baada ya out namwambie twende home ukapajue,, tukifika mageto namla kiurahisii! Mwanamke ukimtongoza kwa kumwambia ukimwambia unampenda cjui wanakuchukuliaje bhna!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…