Anapata orgasm akimnyonyesha mtoto!!! ushauri plz

Anapata orgasm akimnyonyesha mtoto!!! ushauri plz

Hali hii nilishwahi iona kwa dada mmoja hivi kumbe wako wengi .Mtoto akiacha kunyonya itabidi mzeiya uwe unampa azifanyie utundu nadhani maorgasma yatakuwa makali zaidi
 
umetumwa na mwenye tatizo au tatizo ni lako.... tuhitaji majibu ya muhusika na sio wewe.... sikuelewi
 
Pole sana dada kwa tatizo hilo binafsi limengusa.kwa ushauri wangu inabidi umueleze mumeo ili mushauriane na mjue la kufanya.pili ni vizuri kuenda kwa doctor
 
Acha kumnyonyesha mtoto pia mwambie mumeo ili kuchukua uamuzi sahihi
 
Pole sana dada kwa tatizo hilo binafsi limengusa.kwa ushauri wangu inabidi umueleze mumeo ili mushauriane na mjue la kufanya.pili ni vizuri kuenda kwa doctor
 
Sioni kama ni tatizo nadhani hata kama wapenda kusoma vitabu vinavyohusu unyonyeshaji wa mtoto hicho kitu si cha hajabu ila wewe yawezekana una extra feelings ila zitaenda zinapungua. Endelea kumyonyesha mwanao. Huo ndio muda mama na mtoto wana create lifetime bond. Na ni vizuri umyoyeshe mtoto wako ukiwa peke yako with full concentration. Usijisikie vibaya that is mother's love nothing else.

Ushauri wangu wa bure ni kuwa tuwe tunapenda kusoma vitabu vya ujauzito na malezi pale tunapokuwa tumeconceive or even before ili kupunguza mishangao kama hii, na pia inasaidia mtu kujiandaa kisaikolojia. Udadisi unasaidia. Mimi sijawahi kumuuliza mtu kitu kwani wakati nikiwa mjamzito nilisoma sana hivi vitabu mpaka nikakaribia kuwa na ujuzi kama doctor.aaah
 
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.

Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.

Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.

source;
Pole sana,hiyo si hali ya kawaida mpendwa check na walokole kwanza hilo laweza kuwa pepo mahaba, afu nenda kawaone wataalam wa afya
 
Pole sana,hiyo si hali ya kawaida mpendwa check na walokole kwanza hilo laweza kuwa pepo mahaba, afu nenda kawaone wataalam wa afya
Wataalam wa afya hawawezi, ni kusali tu, pepo la ngono hadi ukinyonyesha????
 
Nenda kaombewe, wewe una uhusiano na mashetani/majini yasiyotaka huyo mtoto awe vizuri. Meanwhile huyo mtoto naye akaombewe kwa kuwa anaweza kuwa anatumiwa kama ajenti wa hayo majamaa. Pole sana dada. Mwambie pia mume wako ili mtafute solution ya hilo pamoja. Ukiacha kumwambia inaleta picha nyingine na ndiyo maana nakuambia hayo majamaa ndo yanafanya jitihada. Mwisho kabisa utakuja achana na mumeo uendelee kuwa mke wa hayo majamaa.
 
Hilo ni pepo, nenda kaombewe. Kwa Jina la Yesu wa Nazareti utaondokana na tatizo hilo.
 
Hiyo ni kawaida na wanaojua ni wanawake nashangaa kuna wanaume mnatoa ushauri wakati inawezekana na wake zenu walikuwa na same feelings ila hawakushare na nyie.

Kunyonyesha mtoto ni kipindi ambacho mama anakuwa na feelings za hajabu zinazotokana na mapenzi pia kwa mtoto. Na wanaokushauri umyonyeshe mtoto ukiwa na watu kwangu hiyo ni big No. Kwanza unatakiwa ukiwa unamyonyesha mtoto hata TV na redio uzime na uwe umeconcentrate kumwangalia mwanao hiyo inacreate a lifetime bond between you two. Asikwambie mtu kuwa mama raha na tofauti ni kuwa mama ananyonyesha mwanae na housegirl hata kama atashinda na mtoto wako kwa masaa mengi zaidi mwanao atakutambua na kukupenda wewe zaidi kwa kuwa umemnyonyesha.

Hapo hakuna cha shetani wala maombi dada ni quite normal kwa sisi wenye mauzoefu!
 
Hiyo ni kawaida itakwisha.

Ni kweli hii ni kawaida kabisa hakuna tatizo hapa la kumuomba Mungu sana wala kwenda kumuona daktari. Hili linawatokea akina mama wengi sana.
 
Pia dadangu hisia za mapenz kw kina dada huwa zko sehemu flani flan(maalumu) tofaut toka m2 ad m2,(mwingne kwy chuchu,mwingne ckio n.k,sa inaonesha zako zko hapo na Mr.(na wewe) hakuwah kugundua,so dat's y,inabd (Mr)azfanyie kaz ili mtoto anazpogusa icwe ni k2 kigen na chenye kuccmua never b4,iyo ndo 2naita baraka yan mtoto kuja kaibua na kingne kitakachoboresha ndoa yenu.kuwa mwaminif,huwa cshaur vruka njia na waco waaminifu
 
La kuacha kunyonyesha ni BIG NO!na aliyesema ivo ni mkatili,kisaikolojia kutonyonyesha kuna athar nyng ajabu,ht mtot kuwa criminal ni 1 ya effects ukiacha nyngne kibao,naona ufanyie kaz yote(kushea na husbnd,kuombewa-kwan ht km ni k2 kidogo Mungu hashindw(wacojua watapnga 2 lkn ht alergy hupona kwa maombi),naongeza la kumwona psychologist,exaggerated feelings cn b controlled.
 
Back
Top Bottom