Anapenda sharobaro style

Anapenda sharobaro style

tabia yako mbaya hujitambui umesimamia wapi na itakugarimu stnd kiasilia acha maisha ya sinema hapa love si kuacha umakini na kufata ujinga nikushape pale penye uzaifu wewe unataka mazaifu acha apate hao masharo wa ukweli na wewe tafuta ndege wa aina yako mruke pamoja hutaki amua nyumbani usilete hapa mabishano

Dogo mbona mikwara mingi? haya bana
 
Unapenda sana maisha ya movie!

Jiamini kama ulivyo kwanini asikupende ulivyo?

Jiamini kaka achana na maisha ya ku act, be real

usibadilike muingie kama ulivyo.
Na kuhakikishia ata nasa.
 
Mmh hata ukijibadilisha kua sharobaro it won't work out kwa sababu ukishampata utarudi kwenye upepe kale wako so utaachwa tu..kwa hiyo tafuta wa design yako!
 
Mimi ni kijana ingawa ni msikilizaji sana wa msondo, kupiga soga la kisiasa na mambo ya historia...bongofleva imenipitia kando kidogo. Uongeaji wangu wa kiutu-uzima japo naweza kuchomeka maneno machache ya "kimjini".
Sasa unataka kubadilika kwa ajili yake halafu akishakumwaga? unarudia kama ulivyokua mwanzo?
kumbuka kua wewe ni mwanamme na kama mwanamme kweli ni wajibu wako kumbadilisha unavyotaka wewe
sio yeye akubadilishe wewe huo ni u dhaifu na kutojiamini kua unaweza kumpata bila kua kituko.....

 
Be urself man, weka tu msimamo wako wa maisha vizuri, uwe mtu ambae mwanamke anaweka akamtegemea, just be a man, utakula mwanamke unaetaka haijalishi yukoje, na anapenda nn, ukitaka wa ndoa tafuta type yako ya msondo
 
Back
Top Bottom