Anataka akubambikie mimba!! Kesha nasa huko alikoruka. Jichanganye ulee mbegu za hawara yakeInaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Pole. Tatizo hapo unakuta sio bikra, alishaonja. Ukishaonja sex ni ngumu kweli kukaa bila sex kwa muda mrefu.Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Really man niggas out here thirsty for that WAP and you pushing it away??how you gone disrespect the game like that??Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Wife material ni kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa??? Watu wamefanya mapenzi na wanaume idadi hawakumbuki na wakaolewa wakawa material utafikiri aliolewa bikraMwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.
Akishindwa basi huyo sio wife material achana nae
Mwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Kwako wee sawa mie kwangu kigezo cha kuwa wife material ni kuwa bikra. Huna basi wee kwa mapendeleo yangu sio wife material.Wife material ni kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa??? Watu wamefanya mapenzi na wanaume idadi hawakumbuki na wakaolewa wakawa material utafikiri aliolewa bikra
😂😂Duuuh ili bidi wewe ume KE afu yeye awe ME
Nani anataka kuuziwa mbuzi kwenye gunia? Hakikisheni mnaridhishana kwanza ndo muingie kwenye ndoa
Siku ya honey moon majanga..anakutana na kabamia hakasimami wakati yeye anapenda mkuyenge, au jamaa anakutana na bwawa la mtera loh. Kitu kikubwa kwenye ndoa ni sex... tusidanganyane kabisaNi afadhali uuziwe mbuzi kwenye gunia, kuliko kuuziwa gunia bila mbuzi.
Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
"MIMI NI MIMI" I love that man.Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.