Anasema amechoka kuvumilia, tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Anataka akubambikie mimba!! Kesha nasa huko alikoruka. Jichanganye ulee mbegu za hawara yake
 
Pole. Tatizo hapo unakuta sio bikra, alishaonja. Ukishaonja sex ni ngumu kweli kukaa bila sex kwa muda mrefu.
Na mwanamke akiwa na nyege, ni hatari sana asikwambie mtu, ni bora nyege za mwanaume.
Ushauri wangu: Mpe anachokitaka, la sivyo utakuja juta.
 
Really man niggas out here thirsty for that WAP and you pushing it away??how you gone disrespect the game like that??
 
Anataka a test mitambo mkuu, ni mara chache sisi wanaume kuwa na misimamo ya kingono.
 
Mwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.

Akishindwa basi huyo sio wife material achana nae
Wife material ni kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa??? Watu wamefanya mapenzi na wanaume idadi hawakumbuki na wakaolewa wakawa material utafikiri aliolewa bikra
 
Duh! Naona dunia imefungwa turbo charger ipo speed Atari..now day kuna mwanaume ataki sex mpaka ndoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmmmmmmmm ngumu kumeza hii mtarajiwa kashaona manyoa tayari.
 
Mwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.

Akishindwa basi huyo sio wife material achana nae
Wife material ni kutokufanya mapenzi kabla ya ndoa??? Watu wamefanya mapenzi na wanaume idadi hawakumbuki na wakaolewa wakawa material utafikiri aliolewa bikra
Kwako wee sawa mie kwangu kigezo cha kuwa wife material ni kuwa bikra. Huna basi wee kwa mapendeleo yangu sio wife material.
 
Hongera sana kijana, unanafasi ya kuweka malengo makubwa na kuyatimiza maana una uwezo mkubwa wa ustahimilivu. Ushauri wangu kama mlivyopanga awali basi kaeni chini muweke mpango mwingine.
 
Labda ameingiwa na wasiwasi na wewe. Kwamba labda huna uwezo wa tendo
 
Amkeniii jamani kuna mtu huku anatunza uwanaume wakee hahahaha
 

Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!! Uzinzi!!!!!!!!!

Yamkini huyo binti Mzinzi ana ujauzito wa mtu mwingine. Sasa kama hawezi kusubiri, Je utakapokuwa safari baada ya ndoa nini kitaendelea. Pole sana Bwana mdogo kwa kupotea njia. Huyo sio Wife Material bali Mzinzi fulani tu.

Ahsante
 
"MIMI NI MIMI" I love that man.
Inawezekana ana wasiwasi na urijali wako kwa sababu si kawaida kwa wanaume kutohitaji tendo kabla ya ndoa kwenye kizazi cha sasa. Kwa upande mwingine mnatofautiana pia viwango vya maadili, "moral values". Si dalili nzuri sana kwa sababu mnaweza kuja kutofautiana maeneo mengi kwenye maisha yenu ya ndoa na malezi ya watoto wenu kiujumla so changa karata vema kwa kuangalia na vigezo vingine, hulka na tabia alizonazo. Either way kudos kwake kwa sababu ameamua kukwambia.

Najua utaonekana wa ajabu na wengi humu ila shikilia hapo hapo. Wapo watu wa aina yako hata kama ni wachache. Mimi na wife tulikubaliana kutokukutana kimwili mpaka tunafunga ndoa, nilimkuta sealed. You are on the right track.

All the best.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…