Anasema amechoka kuvumilia, tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Anasema amechoka kuvumilia, tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume[emoji15]
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
[emoji23][emoji23][emoji23]


Sio lazima iwe hivyo. Ni maamuzi tu.
 
Mkuu una uhakika unadisa kila monie?
Trust me mkuu, niko vizuri asilimia 100%, ni vile tu nampenda na naamin tukianza sex siku ya ndoa itapendeza zaidi,
Kwa mimba hana, na pia naamin ni bikra ingawa siwezi kuweka asilimia zote maana ni binadamu.
Natamani angeweza kujizuia wakati huo huo sijui akishindwa nini kitatokea
 
Trust me mkuu, niko vizuri asilimia 100%, ni vile tu nampenda na naamin tukianza sex siku ya ndoa itapendeza zaidi,
Kwa mimba hana, na pia naamin ni bikra ingawa siwezi kuweka asilimia zote maana ni binadamu.
Natamani angeweza kujizuia wakati huo huo sijui akishindwa nini kitatokea
Shit itatokea coz she cant hold it anaskia wenzake wanarushwa njota deile wanamsimulia wewe una delay delay wakati ndo mtu alitarajia umwage mma! Hio kukwambia ni kwamba kuna mtu anamsumbua na yuko just a few yards kumuonjesha tunda anaji feel guilty sana coz atampa bikra mtu kabla yako thus why kaomba feauturing muanze na wewe yani but hujiongezi!

Kuna muhuni ataishi nae soon na kama kapo chuo mzee sina la ziada 😅😅😅 jiandae kuanzisha uzi hapa!
 
Unaweza kukuta umemuwekea ngumu mpenzi wako ilihali mna mahusiano mwaka wa nne huu sasa kama vile mnasomea 'bachelor in relationship'
 
"Kweli upele humuota asiye na kucha"

kujiamini huku ni pale mwanamke anapokuwa bikra na unajua kabisaa hana ujanja wa kutafuta ya bandia, Vinginevyo mwanamme anaikosa hii confidence. am out
 
Haahahahahah mwamba testosterone level zipo chini sana bila shaka.
Don't run to conclude his case ama kumuwekea maneno mdomoni.
Ishu Iko Ivi anakuwa anayepozea kwa huyo demu inawezekana mwana kampenda ili aoe na sio sex.
So anahisi akiomba sex demu atahisi jamaa ni kiwembe so akaamua kukifanya mtakatifu Marko sura ya pili.
Hii no just my assumptions
 
Don't run to conclude his case ama kumuwekea maneno mdomoni.
Ishu Iko Ivi anakuwa anayepozea kwa huyo demu inawezekana mwana kampenda ili aoe na sio sex.
So anahisi akiomba sex demu atahisi jamaa ni kiwembe so akaamua kukifanya mtakatifu Marko sura ya pili.
Hii no just my assumptions
Hahahhaha ufala pro max atombe aache usenge sababu mpaka demu amekuwa na guts za kumwambia anashindwa kuhold zaidi ni kuwa kuna njemba itatomba siku sio nyingi! Jamaa anapewa alert tu sasa akae kisenge ili aone kama hio bikra alioahidiwa ataikuta 😅😅😅
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Ana mashaka na wewe anafikiri huenda hauko sawa, kwa wengine waneingia katika mtego huo wa mwanàume hasimamishi.
Au anataka kuona mnafaa kila mmoja kwenye tendo hilo.
Ninachokushauri kama wewe ni Mkristo imara usifanye. Mara nyingi waliofanya huwa hawaoani sababu wanajuana kama jjnsi kila mmoja anavyoona.
Simamia uamuzi wako kama analazimisha mwache utampata mwingine.

Madhara ya kushiriki ngono kabla linafanya watu wasiaminiane; pia mvuto wa kumtamani mwingine unaondoka, tatu kinachokuwa kinawavuta kukutana ni ngono, nne uzoefu wa kufanya ngono ovyo unafanya kuleta ulinganifu kwa aliowahi kukutana nao huko nyuma na kumpima mwenzake katika kipimo hicho.Tulia mweleze ukweli, akueleze bila kuficha sababu yake ni nini
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Huyo kashafanya hapo anataka akuuzie mbuzi kwenye gunia.
 
Kusema "MIMI NI MIMI"
Then unamalizia kwa kuomba ushauri huo nao ni uduanzi
 
Eti chukuwa tu mtambo ukaufanyie majaribio nyumbani! Labda umdanganye zuzu! Dini zimetudanganya sana .
 
Wewe vumilia tu yeye mwambie kauli hii fupi kama ilivyo ''help yourself,Do Not Disturb'' DND
na utakuwa na amani kama yosefu
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Yaaaani mwanangu kwakweli demu aseme anataka umgonge halafu wewe useme unasubil ndoa? Hii ni mara ya kwanza kusikia kwako. Wewe ni mwanume pekee duniani. Ujue binafsi naona ni muhimu sana kumgonga kwanza demu before ndoa . Sasa ukija kumuoa siku unataka kumkaza ukamkuta anamshine inasisma kama yako utafanyaje?😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom