[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume[emoji15]
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
Trust me mkuu, niko vizuri asilimia 100%, ni vile tu nampenda na naamin tukianza sex siku ya ndoa itapendeza zaidi,Mkuu una uhakika unadisa kila monie?
Shit itatokea coz she cant hold it anaskia wenzake wanarushwa njota deile wanamsimulia wewe una delay delay wakati ndo mtu alitarajia umwage mma! Hio kukwambia ni kwamba kuna mtu anamsumbua na yuko just a few yards kumuonjesha tunda anaji feel guilty sana coz atampa bikra mtu kabla yako thus why kaomba feauturing muanze na wewe yani but hujiongezi!Trust me mkuu, niko vizuri asilimia 100%, ni vile tu nampenda na naamin tukianza sex siku ya ndoa itapendeza zaidi,
Kwa mimba hana, na pia naamin ni bikra ingawa siwezi kuweka asilimia zote maana ni binadamu.
Natamani angeweza kujizuia wakati huo huo sijui akishindwa nini kitatokea
Shake well before use.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio lazima iwe hivyo. Ni maamuzi tu.
"Kweli upele humuota asiye na kucha"
Don't run to conclude his case ama kumuwekea maneno mdomoni.Haahahahahah mwamba testosterone level zipo chini sana bila shaka.
Hahahhaha ufala pro max atombe aache usenge sababu mpaka demu amekuwa na guts za kumwambia anashindwa kuhold zaidi ni kuwa kuna njemba itatomba siku sio nyingi! Jamaa anapewa alert tu sasa akae kisenge ili aone kama hio bikra alioahidiwa ataikuta π π πDon't run to conclude his case ama kumuwekea maneno mdomoni.
Ishu Iko Ivi anakuwa anayepozea kwa huyo demu inawezekana mwana kampenda ili aoe na sio sex.
So anahisi akiomba sex demu atahisi jamaa ni kiwembe so akaamua kukifanya mtakatifu Marko sura ya pili.
Hii no just my assumptions
Ana mashaka na wewe anafikiri huenda hauko sawa, kwa wengine waneingia katika mtego huo wa mwanΓ ume hasimamishi.Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Huyo kashafanya hapo anataka akuuzie mbuzi kwenye gunia.Inaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Yaaaani mwanangu kwakweli demu aseme anataka umgonge halafu wewe useme unasubil ndoa? Hii ni mara ya kwanza kusikia kwako. Wewe ni mwanume pekee duniani. Ujue binafsi naona ni muhimu sana kumgonga kwanza demu before ndoa . Sasa ukija kumuoa siku unataka kumkaza ukamkuta anamshine inasisma kama yako utafanyaje?ππππππInaweza ikashangaza ila mimi ni mimi, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.