No. Upande wa mwanamke alijiona bado mdogo na anaestahili madogo wenzie. Hajui kwamba an older man has more stability, maturity and focus.Sijaona kosa la mwanaume kwenye stori yako
Kimsingi hata mwanamke alikuwa na sababu zake ambazo kimsingi kwa upande wake zilikuwa ni za msingi wakati anakataa offer ya mwanaume
Angemkubalije mume wa mtu?Majuto ni mjukuu,yeye kipindi kile angemkubali hayo yote yasingetokea,
Mkataa pema pa baya pana mwita
Sent using Jamii Forums mobile app
But bado Ni mume wa MTU so why anamtaka now?Angemkubalije mume wa mtu?
Appreciate u my dear memberNa wanawake wajifunze kuwa na akiba ya maneno.
Kila siku nasema hii battle ya opposite sex wanawake hatuwezi shinda unless we are a step ahead kiakili.
Men have every advantage over us. They are born hunters. They know their prey very well and they always have smart tactics up their sleeves to make sure they corner their prey.
And they rarely have anything to lose.
No. Upande wa mwanamke alijiona bado mdogo na anaestahili madogo wenzie. Hajui kwamba an older man has more stability, maturity and focus.
But tatizo liko pale pale.Umeangalia sababu yake ya kwanza...ipo ya pili ambayo ni ya msingi
Japo anachojaribu kufanya kwa sasa cha kwenda kwa mganga sio sawa lakini sababu za kumkataa sio mbaya
But tatizo liko pale pale.
The man is still older.
Na bado Ni family man.
So anatakaje?
Kumharibia ndoa?
But bado Ni mume wa MTU so why anamtaka now?
Seemingly ilikuwa Ni kisingizio tu back then.
Hata agewise the man is even older now, why does she want to be with him?
No. Upande wa mwanamke alijiona bado mdogo na anaestahili madogo wenzie. Hajui kwamba an older man has more stability, maturity and focus.
Na hapo sio kwamba amegundua kosa lake Mia kwa Mia, no. Anatafuta ganda la ndizi. And it's too late.
Anazidi kuharibu Mambo kwa kujidanganya waganga watamsaidia.
Anasahau that The Bible says, What God has brought together no man can lay asunder.
Mbona kila MTU mnalaum huyo mdada, mm simlaumu huyo mdada kwa uamuzi wake uliopita bcoz back then alifuata hisia zake za kweli
Huyo mdada hampendi uyo mme wa mtu, Namlaumu sahivi anavomtafta Mme wa MTU aliemkataa, bcoz maisha ya kifedha yamemchapa, its like anajiuza in a different way Karucee
Ndio ujue sasa kuanzia leoMh! Kumbe mtu unawezakuwa unaendelea na mipango yako kumbe bila kujua umeendewa kwa Karumanzira?
Ndio ujue sasa kuanzia leo
Wewe ndio unaona huna,kina sie tunakukeshea 24/7 kwa karimanzilaUzuri dina cha kumfanya mtu aniendee kwa mganga.