Anasema hawezi shoo zangu

Una umri gani mwenzetu? Mambo yenu ya ndani unaleta humu hadharani ili iweje? Huoni hata ukiingia ndani ya ndoa utakuwa unaleta siri zenu humu pia? Cha ajabu, hata hujasema lolote kuhusu unataka usaidiwe nini katika hili!! Acha hizo!!
 
Vibamia na kimoko chali ndo kutwa kujifaragua waonekane shababy, inferiority complex inakusumbua. Huna lolote.

Tafuta pesa na uwage unampa afu uone km atasema hivyo tena.
Mxxxieeeew
Mamiloo njoo Dom kuna kibamia huku kitakufaa maana jamaa hela anazo
 
Tanzania ya viwanda ilikuwa inategemea vijana,bahati mbaya vijana wenyewe ndo sisi!![emoji849][emoji849][emoji849]....
 
Mkuu watu wanakuponda ila nami napitia tatizo ilo pia wife mpaka namuoneaga huruma na kuhairisha.....inanipa shida watu hawaelewi tuu ....hasa ukiwa unatafuta mtoto
 
Oyaa haiombwi hivyo master na kwa maombi ya namna hii ukipata niite Mbwa niko hapa Kinondoni
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…