Anasema hawezi shoo zangu

Anasema hawezi shoo zangu

Mpenzi wangu Analalamika kwamba nafanya mapenz Kwa Muda mrefu kitu ambacho yeye anasema kinamfanya aumie

Anasema wakat yeye ameshakojoa Vya kutosha ila mm Bado naendelea kupiga show , anasema zaman nilikuwa sipigi shoo ndefu …inafika muda ananishutumu kwamba natumia mkongo

ikabidi nimwabie ukweli kwamba natumia vitunguu swaumu na asali…huwa napiga iyo dozi mara Kwa mara kabla ya kifungua kinywa


Amenifanya nijisikie vibaya sababu lengo langu kwake si kumkomoa
Una umri gani mwenzetu? Mambo yenu ya ndani unaleta humu hadharani ili iweje? Huoni hata ukiingia ndani ya ndoa utakuwa unaleta siri zenu humu pia? Cha ajabu, hata hujasema lolote kuhusu unataka usaidiwe nini katika hili!! Acha hizo!!
 
Vibamia na kimoko chali ndo kutwa kujifaragua waonekane shababy, inferiority complex inakusumbua. Huna lolote.

Tafuta pesa na uwage unampa afu uone km atasema hivyo tena.
Mxxxieeeew
Mamiloo njoo Dom kuna kibamia huku kitakufaa maana jamaa hela anazo
 
Tanzania ya viwanda ilikuwa inategemea vijana,bahati mbaya vijana wenyewe ndo sisi!![emoji849][emoji849][emoji849]....
 
Mpenzi wangu Analalamika kwamba nafanya mapenz Kwa Muda mrefu kitu ambacho yeye anasema kinamfanya aumie

Anasema wakat yeye ameshakojoa Vya kutosha ila mm Bado naendelea kupiga show , anasema zaman nilikuwa sipigi shoo ndefu …inafika muda ananishutumu kwamba natumia mkongo

ikabidi nimwabie ukweli kwamba natumia vitunguu swaumu na asali…huwa napiga iyo dozi mara Kwa mara kabla ya kifungua kinywa


Amenifanya nijisikie vibaya sababu lengo langu kwake si kumkomoa
Mkuu watu wanakuponda ila nami napitia tatizo ilo pia wife mpaka namuoneaga huruma na kuhairisha.....inanipa shida watu hawaelewi tuu ....hasa ukiwa unatafuta mtoto
 
Oyaa haiombwi hivyo master na kwa maombi ya namna hii ukipata niite Mbwa niko hapa Kinondoni
 
Mpenzi wangu analalamika kwamba nafanya mapenzi kwa Muda mrefu kitu ambacho yeye anasema kinamfanya aumie.

Anasema wakat yeye ameshakojoa Vya kutosha ila mm Bado naendelea kupiga show , anasema zaman nilikuwa sipigi shoo ndefu…inafika muda ananishutumu kwamba natumia mkongo.

Ikabidi nimwabie ukweli kwamba natumia vitunguu swaumu na asali…huwa napiga iyo dozi mara Kwa mara kabla ya kifungua kinywa.

Amenifanya nijisikie vibaya sababu lengo langu kwake si kumkomoa.
 
Back
Top Bottom