ANASEMA: Kesho 'Birthday' yangu 'nipost' basi

ANASEMA: Kesho 'Birthday' yangu 'nipost' basi

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Katika hali isiyo ya kawaida, nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninayemuadithia anabakia kucheka tu.

Leo jioni nikiwa natazama mpira huku nachezea simu yangu, mara ukaingia ujumbe wa WhatsApp, kutazama namba ngeni (sijaihifadhi). kufungua nitazame nimetumiwa nini na hii namba ngeni, nikakuta picha mbili ambazo nimetumiwa kwa mfumo wa 'document'. Picha zilikuwa za kijana wa kiume, kwa vile jamaa simjui ikabidi kwanza nimtumie ujumbe, "Oi niaje chief?"

jibu alilonipa, "Nipost kesho birthday yangu"

Aah, tatizo siyo 'kukupost', nikamjibu lakini mbona mimi sikujui mkuu? Akanijibu, hata mimi sikujui ila nipost tu.🙄🙄🙄🙄

Sasa hapa waungwana nimebakia na maswali, huyu jamaa ni nani na kwanini kanitumia picha?

Halafu mtu 'akishakupost' 'Birthday' yako ndiyo unapata kitu gani au unaongeza kitu gani?
 
Hii chai kama chai zingine
20221108_233012.jpg
 
Duh ianzishwe utaratibu wa kugunga Uzi na kula ban ikiwa unaleta upuuzi upuuzi[emoji1787]
 
Katika hali isiyo ya kawaids nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninae muadithia anabakia kucheka tu.

leo jioni nikiwa natazama mpila . huku nachezea simu yangu.

mara ikaingia text ya whatsapp kutazama namba ngeni ( Sijazisave). kifungua nitazame nimetumiwa nini na hii namba ngeni.

kufungua nikakuta picha mbili ambazo nimetumiwa kwa mfumo wa document. picha zilikuwa za kijana wa kiume .kwa vile jamaa simjui ikabidi kwanza nimtumie text " Oi niaje chief"

jibu alilonipa " Nipost kesho birthday yangu"


aaaah tatizo sio kukuposy nikamjibu lakini mbona mimi sikujui mkuu .

akanijibu hata mimi sikujui ila nipost tu.🙄🙄🙄🙄

Sasa hapa waungwana nimebakia na maswali huyu jamaa ni nani ?

na kwanini kanitumia picha ?

alafu mtu akishakupost Birthday yako ndo unapata kitu gani au unaongeza kitu gani ?
IMG_20221114_233625.jpg
 
nikufundishe, aiku nyingine namba ngeni ikikutext bila kujitambulisha au kwa namna kama hiyo iblue tick message yake alafu usimjibu ifute chatting... akirudia tena m'block
 
nikufundishe, aiku nyingine namba ngeni ikikutext bila kujitambulisha au kwa namna kama hiyo iblue tick message yake alafu usimjibu ifute chatting... akirudia tena m'block
😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom