Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha hmn mkuuna kama ungepewa kitengo cha u moderator ungebakia uzi wako tu basi [emoji16]
😁😁😁😁Ahahaha hmn mkuu
sikia, save namba vizuri kisha ingia setting ya privacy upande wa status mseti yeye tu aione status yako, kisha mpost alafu baada ya masaa 24 rudisha setting za status waone watu wote posts mpya utazoziweka hewani.
18Nov yangu mie💃💃🎉🎉🎊🎊🎊🎊Katika hali isiyo ya kawaids nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninae muadithia anabakia kucheka tu.
leo jioni nikiwa natazama mpila . huku nachezea simu yangu.
mara ikaingia text ya whatsapp kutazama namba ngeni ( Sijazisave). kifungua nitazame nimetumiwa nini na hii namba ngeni.
kufungua nikakuta picha mbili ambazo nimetumiwa kwa mfumo wa document. picha zilikuwa za kijana wa kiume .kwa vile jamaa simjui ikabidi kwanza nimtumie text " Oi niaje chief"
jibu alilonipa " Nipost kesho birthday yangu"
aaaah tatizo sio kukuposy nikamjibu lakini mbona mimi sikujui mkuu .
akanijibu hata mimi sikujui ila nipost tu.🙄🙄🙄🙄
Sasa hapa waungwana nimebakia na maswali huyu jamaa ni nani ?
na kwanini kanitumia picha ?
alafu mtu akishakupost Birthday yako ndo unapata kitu gani au unaongeza kitu gani ?
😁😁😁😁 wenyewe akiona jeBila picha huu uzi ni batili
HBD & LONG LIFEEEEE KWAKO LENYE HERI NA BARAKA TELEEEE18Nov yangu mine💃💃🎉🎉🎊🎊🎊🎊
Amina Amina Amina 😊HBD & LONG LIFEEEEE KWAKO LENYE HERI NA BARAKA TELEEEE
🤝🤝🤝🤝Amina Amina Amina 😊
😁😁😁 kweli ila useriouz sana haukfny uonekane ww ni mtu anayejielewa sana. kwenye jukwaa la mahusiano na urafiki ach tupost yale ambay tunayoyaish kwenye jukwaa la siasa na great thinker acha kuandik kinachoitajika kule tusichanganye madawaMembers wengi waliojoin jf miaka ya hivi karibuni wanastory za kuchekesha sana
ungekuwa wewe ungempostZari hilo
One Man downKatika hali isiyo ya kawaids nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninae muadithia anabakia kucheka tu.
leo jioni nikiwa natazama mpila . huku nachezea simu yangu.
mara ikaingia text ya whatsapp kutazama namba ngeni ( Sijazisave). kifungua nitazame nimetumiwa nini na hii namba ngeni.
kufungua nikakuta picha mbili ambazo nimetumiwa kwa mfumo wa document. picha zilikuwa za kijana wa kiume .kwa vile jamaa simjui ikabidi kwanza nimtumie text " Oi niaje chief"
jibu alilonipa " Nipost kesho birthday yangu"
aaaah tatizo sio kukuposy nikamjibu lakini mbona mimi sikujui mkuu .
akanijibu hata mimi sikujui ila nipost tu.🙄🙄🙄🙄
Sasa hapa waungwana nimebakia na maswali huyu jamaa ni nani ?
na kwanini kanitumia picha ?
alafu mtu akishakupost Birthday yako ndo unapata kitu gani au unaongeza kitu gani ?