ANASEMA: Kesho 'Birthday' yangu 'nipost' basi

sikia, save namba vizuri kisha ingia setting ya privacy upande wa status mseti yeye tu aione status yako, kisha mpost alafu baada ya masaa 24 rudisha setting za status waone watu wote posts mpya utazoziweka hewani.
 
acha nifanye hivyo mkuu
sikia, save namba vizuri kisha ingia setting ya privacy upande wa status mseti yeye tu aione status yako, kisha mpost alafu baada ya masaa 24 rudisha setting za status waone watu wote posts mpya utazoziweka hewani.
 
18Nov yangu mieπŸ’ƒπŸ’ƒπŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽŠπŸŽŠπŸŽŠπŸŽŠ
 
Members wengi waliojoin jf miaka ya hivi karibuni wanastory za kuchekesha sana
😁😁😁 kweli ila useriouz sana haukfny uonekane ww ni mtu anayejielewa sana. kwenye jukwaa la mahusiano na urafiki ach tupost yale ambay tunayoyaish kwenye jukwaa la siasa na great thinker acha kuandik kinachoitajika kule tusichanganye madawa
 
Kama kumpost hakukupunguzii chochote kwenye maisha yako basi mpost, huwezi jua labda furaha yake ni kupostiwa[emoji3578]
 
One Man down
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…