Anasema mpeane ”break time“ ina-make sense kweli?

Anasema mpeane ”break time“ ina-make sense kweli?

Iyo break ya siku Tano ulivolimwa block ndo alikuwa kasafiri mwana ka import au anajivinjari..na alitumia mbinu hiyo usimsumbue ...

Tafuta mchongo mdogo wangu hayo mapenz ya kutoka chuo haya apply hata kidogo kitaa...

[emoji120][emoji120]
 
Yaan ni kwamba tulikua wapenz since tupo chuo for 3 year ila naona baada ya kua kitaa kwa takriban 1 year bila mchongo wowote naona alianza kubadirika taratibu ananijibu short short kwenye chatings afu amekua majibu yake ni ya command...sasa last week ndio aliniambia twende break time,na nkala block kama siku tano hivi,baada ya kumuuliza reason za kuniblock akaniukiza “ kwani lazima niwe nampigia simu mara kwa mara..?? Yan anajibu majibu makali sana
Shida ni hela hapo. Endelea kutafuta maisha. Tumia hiyo dharau kama chachu na funzo kuwa mwanamke hakupendi wewe ila anapenda anachopata kwako ambacho kinafurahisha nafsi yake.

Anyways. Inauma sana pale mwanamke anapojitoa ufahamu nje kukuacha kwa sababu ambazo nje ya uwezo wako. Piga moyo konde msemee kwa MUNGU kisha piga moyo konde na undelee kujitafutia maisha. Ila akirudi usije ukampokea huyo sio mtu mzuri kwako.
 
Shida ni hela hapo. Endelea kutafuta maisha. Tumia hiyo dharau kama chachu na funzo kuwa mwanamke hakupendi wewe ila anapenda anachopata kwako ambacho kinafurahisha nafsi yake.

Anyways. Inauma sana pale mwanamke anapojitoa ufahamu nje kukuacha kwa sababu ambazo nje ya uwezo wako. Piga moyo konde msemee kwa MUNGU kisha piga moyo konde na undelee kujitafutia maisha. Ila akirudi usije ukampokea huyo sio mtu mzuri kwako.

[emoji120][emoji120]
 
Sikiliza wimbo wa Justin Bieber -that should be me. verse ya pili utaelewa nn anachomaanisha huyo mwenzako na ww utajikuta yanakutokea
 
Sikiliza wimbo wa Justin Bieber -that should be me. verse ya pili utaelewa nn anachomaanisha huyo mwenzako na ww utajikuta yanakutokea

Aisee sio verse ya pili tuu...yan ni mwimbo mzima kama kaniimbia mimi asee duuh [emoji849][emoji849]kumbe hii scenario inawakuta wengi tuu
 
Halafu jf wanaoongoza kulalamikia mapenzi ni wanaume.Jamani tatizo wengine hamjiongezi.You do not know how to treat a woman.
 
Ifike pahala tujifunze kuachana na habari za mapenzi tujikite kwenye kutafuta hela tu na kufocus kwenye malengo mengine ya kimaisha!

Yani mtu jiwekee malengo makubwa na plans za kibabe za kutoboa kimaisha zitakazo kuchallenge katika utekelezaji wake halafu upuuzi wa kuitwa mapenzi tupa kule!!

Sema sijui kwanini inakuwa ngumu Sana kui tune akili iwe katika mfumo huo!
Utafute hela kwa ajiri ya nini sasa?
 
Back
Top Bottom