Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Rushia rushia punje anase
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ubakaji tena kwa wanawake hawa hawa tunaowajua???? wewe huyoo unaemtongoza usikute yuko form one. kuna miaka 30 jela hao wanafunzi wacha walane wao kwa wao.Mwanaume anatakiwa ku-force kila kitu? Ukipata kesi ya ubakaji itakuwa kesi ya nani? si inaangukia kwako kwa asilimia zote 😂😂😂
Nilitaka nimjibu kitu kama hiki..Acha ulimbukeni wa lugha kijana,unapowasilisha hoja yako chagua lugha ya kutumia ili ueleweke,sasa hayo makiswakinge yako yanaonesha hujapevuka lakini kwa kutumia lugha za hivi kunapelekea usipate msaada wa jambo lako
Mwanamke kukuambia hivi ni dharau kubwa sana, bora anayepigwa kibuti directkwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Basi utataabika sanaNaanzaje kupanda kwenye shamba ambalo sijakodishiwa au hata kuuziwa? Ila kwakumnasa .....
Mkuu wataka banNa iwe hivyo. Ila siwezi fanya uwekezaji ambao utaniumiza. Kwanianaiuza 😂😂😂😂Vagina
Huyo unatakiwa sasa hivi wewe ndiyo uumpige chini akikutext, akikucall mkaushie ajue kuwa hauna shobo nayeKaniweka kwenye urafiki sugu
Ndipo kosa lako lilipoNimetumia spoiler
Jamaa yuko Kisabato ile sanaa.Una umri gani!?
Unajua maana ya sitaki nataka?
Unajua cha kufanya,?
Usiact nicely kwa hawa viumbeJamaa yuko Kisabato ile sanaa.
KUna wakati wanawake wanapenda mwanaume mapepe
Nyuzi kama hizi za watoto ndio zilifanya nipigwe ban ya maisha 2016Nisiwachoshe ma GT wa Jf.
Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).
Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
Kumtania mtuKuflirt ndo nn
Ahna sawaKumtania mtu
Aisee una tatizo gani mangi,??Nisiwachoshe ma GT wa Jf.
Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).
Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!
Punguza ndoto za Alinacha. Ondoa hizo imaginary feelings. Owa utulize mzuka.Nisiwachoshe ma GT wa Jf.
Heading ipo clear, kuna binti fulani nilimtongoza kama miezi miwili iliyopita, aliniambia atanifikiria na baada ya siku mbili aliniambia hawezi kuwa na mahusiano na mimi kwakuwa ananichukulia kama kaka yake.
Nikaona labda ni namna ya kupotezeana muda nikaendelea na mambo yangu. Siku moja alinitumia meseji akiuliza nikiwa naendeleaje, nilimjibu tu kikawaida kwakuwa hata mimi nilijifunza kumfuta moyoni lakini nikaona ana entertain ku-flirt na mimi wakati anadai ananichukulia kama kaka yake (Yaani mtu wa heshima ambaye hawezi anzisha naye mahusiano).
Siku zimeenda, siku ya leo nimekutana nae tena. Baada ya salamu alinipa weird look, kila nilipomuangalia na kuona ile ilikuwa trick ya ku-flirt kwa njia ya macho na niliona upumbavu kushikilia vitu visivyoshikika nikaagana nae na kuondoka.
Shida inakuwa nini kwa ke, ina maana na wao wana-enjoy ku-flirt na kuwa mislead wanaume wakijua hawawezi kuwa nao kimahusiano? It ' s disgusting and mean!