Amenituma kumtangazia anatafuta kazi inayolingana na profession yake
je ni mashirika au makampuni gani anaweza kupata ajira?
Amamaliza kwenye chuo kikuu cha udom.
Wanajamii forums mmekuwa mkinisaidia binafsi kwa mambo mengi naomba nisaidieni kwa ombi la kijana huyu ambaye hata hela ya kuingia kwenye inetrnet hana sasa ameniomba nimsaidie kutoa hii advertisement yake kwenu
asanteni
je ni mashirika au makampuni gani anaweza kupata ajira?
Amamaliza kwenye chuo kikuu cha udom.
Wanajamii forums mmekuwa mkinisaidia binafsi kwa mambo mengi naomba nisaidieni kwa ombi la kijana huyu ambaye hata hela ya kuingia kwenye inetrnet hana sasa ameniomba nimsaidie kutoa hii advertisement yake kwenu
asanteni