Anatafutwa Business Partner kwa ajili ya kusimamia biashara ( Mtaji upo)

Anatafutwa Business Partner kwa ajili ya kusimamia biashara ( Mtaji upo)

Zamazamani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2008
Posts
1,869
Reaction score
787
Wadau

Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;

1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu
 
Wanawake tena🤔🤔🤔 ngoja nijikatae kwanza, Mungu ni mwema, naweza kujikataa alafu nikaitwa🤣🤣🤣🤣🤣, unawaza hii confidence naitoa wapi?? Ila ndo ukweli utanitafta tu mkuu😆😆😆
 
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu
Unatafuta wafanyakaz au nia yako ni kuweka usawa wa kijinsia
 
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu
Unatafuta mke!!? Kwanini wanawake!!?? Aya, kila lakheri.
 
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu
Ajira million 8
 
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu
Unaajiri au unatafuta Business Partiners?
 
Anatakiwa: Pisi kali
Kituo cha kazi: 6 X 6

Ndio habari yenyewe, jamaa anatoa kipaumbele kwa wanawake kwa sababu za kibinafsi. Na sababu zenyewe ni kumkaza huyo huyo manzi atakayepatikana. Anyway, It is on your own Job seekers.
 
Wadau
Natafuta mtu wa kusimamia biashara ninayotaka kuanzisha ( bidhaa ndogo ndogo) , awe na sifa zifuatazo;
1. Awe na uzoefu na upeo wa kufanya biashara hasa za bidhaa ndogo ndogo
2. Awe na uzoefu katika mambo ya kutafuta masoko
3 .Awe na elimu ya kawaida lakini ambayo imempa upeo katika nyanja za kibiashara
4 .Awe tayari kufanya kazi kama 'Partner' ambaye mchango wake mkubwa ni kusimamia biashara tu kwa 100%
5.Akiwa kama msimamizi , awe na uwezo wa kutafuta watenda kazi waaminifu ambao watakuwa chini yake.
6. Mimi na yeye tutakubaliana apate asilimia ngapi ya faida tutakayo pata sababu anakuwa shareholder na siyo mfanyakazi.
7. Vituo vya kazi vipya ni Dar na Dodoma ( nilianzia Morogoro)
8 Wanawake watapewa kipaumbele zaidi.
9.Aliye tayari atume CV yenye passport size kwa barua pepe :fazarashidi@gmail.com kabla ya tarehe 19 Februari 2021.
10. Maombi ni kwa ajili ya walio serious tu

Mkuu hebu ainisha Terms za hiyo patnership ? Au unataka mtu akufanyie kazi alfu umlipe kama mfanyakazi na sio business partner.?
 
Hahahahaa..
Tena anataka waambatanishe picha kabisa.
Atakuwa anaitwa mmoja analiwa afu anaitwa mwingine, nk

Ndo habari yenyewe.! Watu wana mbinu nyingi sana za kupata mademu kwa njia rahisiiii.!

Kwanza utawekaje kigezo cha jinsia ya kike kama nikutafuta mtu wa kufanya naye kazi kama partner kwenye Biashara. Kuna mambo ambayo lazima yawekwe wazi kama lengo nikupata business partner.
 
Mkuu hebu ainisha Terms za hiyo patnership ? Au unataka mtu akufanyie kazi alfu umlipe kama mfanyakazi na sio business partner.?
Usimamizi wa biashara ni changamoto. Tangazo limejieleza vizuri.....Mchango wa Partner ni kusimamia kazi 100% halafu nampa shares siyo kwamba namuajiri ni kwamba na yeye anakuwa Owner...mbona mimi huwa nafanya hivyo biashara zangu zote? nini hakijaeleweka?
 
Ndo habari yenyewe.! Watu wana mbinu nyingi sana za kupata mademu kwa njia rahisiiii.!

Kwanza utawekaje kigezo cha jinsia ya kike kama nikutafuta mtu wa kufanya naye kazi kama partner kwenye Biashara. Kuna mambo ambayo lazima yawekwe wazi kama lengo nikupata business partner.
Hii ndio approach yangu ninayoitumia kwa biashara zangu zote......sijui haujaelewa nini? Wanawake huwa ni rahisi kufanya nao kazi sababu ya uaminifu ...wakiume wameshanisumbua sana na wengi ni wezi na hawaeleweki
 
Back
Top Bottom